Zanzibari ni Palestina ya Tanzania?

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Maana inadekezwa sana atiii.

Kama inavyodekezwa Palestina na Waarabu. Fatwa kuua Myahudi. Dhulma kuua mpalasina.

Wao waje waunde serikali kwetu Tanzanuia Bara.

Sisi Watanzania Bara MARUFUKU kuunda sirikali yao. Makafiri sisi. Wanatuita.

Ukweli lazima usemwe.

JK lazima ajirekebishe namna anaendesha sirikali yake, or tutaingia kwa keos.
 
Maana inadekezwa sana atiii.

Kama inavyodekezwa Palestina na Waarabu. Fatwa kuua Myahudi. Dhulma kuua mpalasina.

Wao waje waunde serikali kwetu Tanzanuia Bara.

Sisi Watanzania Bara MARUFUKU kuunda sirikali yao. Makafiri sisi. Wanatuita.

Ukweli lazima usemwe.

JK lazima ajirekebishe namna anaendesha sirikali yake, or tutaingia kwa keos.

Inategemea mwalimu aliyekufundisha somo historia ya Tanzania. Nani anajua pengine ulilisomea Japan, kuna mambo mawili ama ulimwelewa mwalimu wako au hukumwelewa lakini katika macho ya watanzania wengi Zanzibar sio Palestina.
 
Jerusalem unaonekana post zako ni majibu ya Malaria sugu lakini Ukristo hauna mafunzo hayo ya kudhihaki dini nyingine yamkini utaishushia hadhi dini yako kwa yesu kristo.Kama kweli umeiva vema katika Ukristo utajaa moyo wa upendo kwa wale wasio wakristo wakiwemo watanzania wenzetu na ndugu zetu waislamu. Hoja za Malaria sugu sio za waislamu wote wanaipenda Tanzania na hoja zako Jerusalem sio za wakristo wote wanaoitakia mema nchi hii.

Kama ningekuwa nawafahamu (Malaria sugu na Jerusalem) nje ya mipaka ya jukwaa la jamiiforums, ningefanya kazi ya kuwasuluhisha ili kila mmoja wenu akabaki na dini yake na kisha mkatuachia Tanzania yetu salama salimini.
 
Jerusalem unaonekana post zako ni majibu ya Malaria sugu lakini Ukristo hauna mafunzo hayo ya kudhihaki dini nyingine yamkini utaishushia hadhi dini yako kwa yesu kristo.Kama kweli umeiva vema katika Ukristo utajaa moyo wa upendo kwa wale wasio wakristo wakiwemo watanzania wenzetu na ndugu zetu waislamu. Hoja za Malaria sugu sio za waislamu wote wanaipenda Tanzania na hoja zako Jerusalem sio za wakristo wote wanaoitakia mema nchi hii.

Kama ningekuwa nawafahamu (Malaria sugu na Jerusalem) nje ya mipaka ya jukwaa la jamiiforums, ningefanya kazi ya kuwasuluhisha ili kila mmoja wenu akabaki na dini yake na kisha mkatuachia Tanzania yetu salama salimini.


Fofofo, naamini Yerusalem sio Mkristo, nadhani ni Myahudi. Siadhani kama Uyahudi unatofautiana na fikra hizi, ila Ukristo kidogo ni tofauti kimtazamo na kimsimamo.
 
Zanzibari ni Palestina ya Tanzania?
Maana inadekezwa sana atiii.

Kama inavyodekezwa Palestina na Waarabu. Fatwa kuua Myahudi. Dhulma kuua mpalasina.

Wao waje waunde serikali kwetu Tanzanuia Bara.

Sisi Watanzania Bara MARUFUKU kuunda sirikali yao. Makafiri sisi. Wanatuita.

Ukweli lazima usemwe.

JK lazima ajirekebishe namna anaendesha sirikali yake, or tutaingia kwa keos.



Hivi kweli watz wa sasa ambao tunachangamoto kubwa za kimaendeleo bado mtu kama huyu analeta thread ka hii isiyo na kichwa wala miguu.
 
Jerusalem unaonekana post zako ni majibu ya Malaria sugu lakini Ukristo hauna mafunzo hayo ya kudhihaki dini nyingine yamkini utaishushia hadhi dini yako kwa yesu kristo.Kama kweli umeiva vema katika Ukristo utajaa moyo wa upendo kwa wale wasio wakristo wakiwemo watanzania wenzetu na ndugu zetu waislamu. Hoja za Malaria sugu sio za waislamu wote wanaipenda Tanzania na hoja zako Jerusalem sio za wakristo wote wanaoitakia mema nchi hii.

Kama ningekuwa nawafahamu (Malaria sugu na Jerusalem) nje ya mipaka ya jukwaa la jamiiforums, ningefanya kazi ya kuwasuluhisha ili kila mmoja wenu akabaki na dini yake na kisha mkatuachia Tanzania yetu salama salimini.
fofofo we mjanja nakupa 100thanks,unajua sisi watanzania ni ndugu ni wamoja twapendana,mkristo anapendana na mwislam na mwislam anapendana na mkristo na wanazaa pia tuishi kwa upendo,ijapokua sheria yakiislam hairuhusu kuzaa nje yandoa ila watanzania tumechanganya damu tuache kuvurugana bana sio zuri kabisa
 
Maana inadekezwa sana atiii.

Kama inavyodekezwa Palestina na Waarabu. Fatwa kuua Myahudi. Dhulma kuua mpalasina.

Wao waje waunde serikali kwetu Tanzanuia Bara.

Sisi Watanzania Bara MARUFUKU kuunda sirikali yao. Makafiri sisi. Wanatuita.

Ukweli lazima usemwe.

JK lazima ajirekebishe namna anaendesha sirikali yake, or tutaingia kwa keos.


Hivi ni nani yule aliyesema hana imani na JK? Ninafarijika sana kusikia vile. mdini!!!!!!!!!!!!
 
Maana inadekezwa sana atiii.

Kama inavyodekezwa Palestina na Waarabu. Fatwa kuua Myahudi. Dhulma kuua mpalasina.

Wao waje waunde serikali kwetu Tanzanuia Bara.

Sisi Watanzania Bara MARUFUKU kuunda sirikali yao. Makafiri sisi. Wanatuita.

Ukweli lazima usemwe.

JK lazima ajirekebishe namna anaendesha sirikali yake, or tutaingia kwa keos.

Jerusalem,

Mkuu ,tafadhali ufanye haraka upate ushauri nasaha, msongo wa mawazo ulionao takes its toll! Utakumaliza.

Kwanza, utambue kuwa Zanzibar ni m-bia wa muungano. Au hulijuwi hili? Zanzibar aliungana na nani? Aliungana na Serikali ya Muungano?

Tatizo lako linaanzia hapo. (kasumba za muda mrefu zinafanya kazi yake!)


Pili, Ukiilinganisha Zanzibar na wazanzibari katika mtazamo huu

Ariel Sharon: "There is no such thing as a Palestinian."
Ehud Barak: "If I were a Palestinian, I would be a terrorist."



Ni wazi utakuwa una-cloud your reasoning, kwa hiyo kujadiliana na mtu kama wewe ni kupoteza nguvu bure.

Mimi ninavyowafahamu wazanzibari ni kuwa wao ndio wametuamsha sisi huku bara kisiasa. Unakumbuka Mwalimu alipochafua hali ya hewa Zanzibar na kumlazimisha Aboud Jumbe ajiuzulu? Alipowafukuza akina Seif Sharif , Hamad Rashid na wengine.? Sababu ni kwa wao kutetea haki na usawa katika Muungano.

Tunawapachika viongozi tunaowataka sisi kule Zanzibar , mfano Shein this time.

Kama ni kuua, basi ni sisi ndio tumewauwa wazenj, si unakumbuka serikali ya Mkapa iliuwa na kutesa wengi kule zenj?

Hao wanaokwitwa wewe kafiri labda ni kwa sababu unawaita terrorists.

Hate breeds hate! .....So is violence.

Tupiganie irudi serikali ya Tanganyika ndani ya muungano, hapo hakutakuwa na nafasi ya wazenj kuunda serikali kwetu au kudekezwa.

Tatizo liko kwetu sio kwa wazanzibari na tunapokwepa wajibu wa kurekebisha kosa letu ,hatuna sababu ya msingi kuwatupia lawama wazenj.

Sisi wadanganyika tunajitia uchizi tu. Mwishowe tutaishia kuwa machizi kweli.

Mambo yako wazi kabisa kwa aliye na macho kuona na kwa mwenye kutaka kufikiri.

Wacha misimamo mikali, mkuu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom