YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,903
Kwa mujibu wa ITV habari Zanzibar Fisheries Company(ZAFICO ) hongera kusaini mkataba kiwanda cha kuchakata Samaki na nchi ya Sri Lanka Tanzania bara mifisadi imeua TAFICO
Zanzibar Fisheries Company (ZAFICO) leo wamesaini mkataba na Sri Lanka wa kujenga kiwanda cha kuchakata samaki kwenye mradi wa uchumi wa Blue Zanzibar
Tanzania bara mifisadi imeua Tanzania Fisheries Company (TAFICO) iko hopeless
Zanzibar Fisheries Company (ZAFICO) leo wamesaini mkataba na Sri Lanka wa kujenga kiwanda cha kuchakata samaki kwenye mradi wa uchumi wa Blue Zanzibar
Tanzania bara mifisadi imeua Tanzania Fisheries Company (TAFICO) iko hopeless