Zanzibar yatangaza Wagonjwa wapya 15 wa COVID-19. Visa vyafikia 98 (Aprili 24, 2020)

Bara tunalimbikiza kwanza hadi wiki iishe,wakitaja awamu hii ni 50+.
 
Zanzibar mtajijua, sisi bara tumeanza kupona kwa makumi kuanzia leo. Tumepewa maelekezo cha kufanya na kwa haraka waziri wa afya keshaanza kazi. leo 37 wameruhusiwa
 
JM3,
Hawa wenzetu wana hofu ya Mungu..hawadanganyi.....sio huku hata kusema wagonjwa wapya hawataji , waliokufa hawataji.....wanapika data za "waliopona" tu
 
Mwaka 2020 wengi walijiona fahari,wakauona wa heri na baraka;wengine wakaanza kufyatua makombola yao ya masafa marefu,wengine wakawa na mipango ya kununua magari yanayopaa.

Cha ajabu,tumeambulia kufundishwa njia salama ya kuosha mikono tu.

-Pengine,mikono yao imechafuka machoni mwa Muumba,kwanza ikasafishwe.

-Midomo badala ya kuongea mambo ya maana,pumba tu na mtusi ya lile genge la wahuni,na yenyewe inatakiwa ivishwe mask.

-Wapo kwa kumuudhi Mungu badala ya kuwasaidia masikini,wametumia hela kuonekana kama wamekunywa damu. Wako wapi leo!

-Mbali na hayo,bado watu tu wanaendelea na vijitabia vyao vya kumuuzi Mola.
Siku si nyingi na nafsi chafu atajioshea mwenyewe.

Mi napita tu
 
Rais wa zenjii vp? Huko bara prezo wao katoa tamko watu wamepona wengi ile ghafla bin vuu!! Sheesheeini anakwama wapi?? Ita polisi tia mikwara watu wapone chapu
 
Kwetu hali naona iko shwari Waziri Ummy hajatangaza toka 22 April. Tuendelee kumuomba Mungu na kujifukiza kwa wingi. Bila kusahau hizo limao na tangawizi.
na hatatangaza, labda atatangaza waliopona tu, ila vifo na maambukizi mapya tusahau!
 
Mbona idadi ya hawo wagonjwa haijumlishwi na hii ya huku bara. Kuna kitu hakijakaa sawa au ni mwandishi tu?
 
majani ya mpera Je?
Yes. Ndiyo wanayotaja - majani ya pera, embe, parachichi, mchaichai, alovera(nimeona picha ya uganda), stafeli, na eucalyptus na rosemary. Mbili za mwisho kuzipata mjini kazi. But hata ukipata chache inatisha.

Unaweka limao lako na tangawizi na kitunguu swaumu. Chemsha jiko la mkaa then jifukize angalao usiku kama huwezi asubuhi na jioni.

Ila ukiwa na Corona frequency ya kujifukiza ni kubwa zaidi I.e up to 4 times a day na kunywa vimiminika vya moto. Mungu atunusuru hasa sisi ambao umri umegonga.
 
Back
Top Bottom