Zanzibar yakabiliwa na ukiukwaji wa haki za binadamu

Saa za Zanzibar lazima zinarudi nyuma wakati za wengine zinaenda mbele. Haiwezekani kisiwa maarufu kwa utalii kikataze watu kupika na kula chakula mchana hata kama umejifungia ndani. Sasa hao watalii watakula hewa? Kwanini tulazimishane kufunga? Wagonjwa inakuwaje?

Mbaya zaidi unakamatwa na kupigwa na raia, sio vyombo vya dola. Sio haki wewe umeamka saa kumi na moja umekula, halafu inafika saa saba mchana unapiga watu ambao hawakula alfajiri. Ni hali ya kutostaarabika kabisa. Zanzibar badilikeni, maana hiyo 'nchi' yenu inapokea wagen wengi sana mnaowategemea kwa ajiri ya mapato ya serikali.
 
Kule wanasema wanaheshimu sana dini,ni watu wa dini waleeeee.Sasa nachojiuliza watu wa dini gani wanakandamiza haki Za binadaaamu??Yakhee
 
Hawa wanaopigwa kwa kula ovyo ovyo,huwa wanafanya kusudi,kama unataka kula,kaa kwako ndani kula,na ndio kawaida,hata siku zisizo za mfungo,mtu unakula nyumbani kwako.Na hao wanaopigwa ni waislamu,asiye muislamu haguswi.
Utakuta mtu,ameingia ndani ya uislamu,lakini hafungi.Kama hufungi ukila kwako,nani atakuletea tabu.Lakini unakula barabarani,kwa makusudi.
usitetee upuuzi unaofanywa na hawa wanafiki wanaojifanya waislam,hapa zanzibar aijalishi wewe ni mwislam au mkristo wote lazimma kufunga na hata kama ujafunga mahitaji kupata ni shida.
 
Hawa wanaopigwa kwa kula ovyo ovyo,huwa wanafanya kusudi,kama unataka kula,kaa kwako ndani kula,na ndio kawaida,hata siku zisizo za mfungo,mtu unakula nyumbani kwako.Na hao wanaopigwa ni waislamu,asiye muislamu haguswi.
Utakuta mtu,ameingia ndani ya uislamu,lakini hafungi.Kama hufungi ukila kwako,nani atakuletea tabu.Lakini unakula barabarani,kwa makusudi.

Mkuu;
Upo Zenj au nje kule Oman Muskat?? Changia unachokijua sio nadharia. Mtu gani awezaye kulia ugali barabarani?? Umeona juzi mafundi walikamatiwa ndani ya nyumba walokuwa wakikarabati?? Tusiwe bayas kwa hili.
Mfungo wa nguvu sio mfungo. Waweza peleka punda kisimani wala maji asiyanywe
 
Hawa wanaopigwa kwa kula ovyo ovyo,huwa wanafanya kusudi,kama unataka kula,kaa kwako ndani kula,na ndio kawaida,hata siku zisizo za mfungo,mtu unakula nyumbani kwako.Na hao wanaopigwa ni waislamu,asiye muislamu haguswi.
Utakuta mtu,ameingia ndani ya uislamu,lakini hafungi.Kama hufungi ukila kwako,nani atakuletea tabu.Lakini unakula barabarani,kwa makusudi.
Kama ndio utaratibu kwanini Serikali itoe maagizo kwenye mwezi huo? Ama ingekuwa inatoa hayo maagizo kila siku/mwezi au isiyatoe kabisa na sio kuyatoa kipindi fulani tu. Huoni hila hapo?
 
Hawa wanaopigwa kwa kula ovyo ovyo,huwa wanafanya kusudi,kama unataka kula,kaa kwako ndani kula,na ndio kawaida,hata siku zisizo za mfungo,mtu unakula nyumbani kwako.Na hao wanaopigwa ni waislamu,asiye muislamu haguswi.
Utakuta mtu,ameingia ndani ya uislamu,lakini hafungi.Kama hufungi ukila kwako,nani atakuletea tabu.Lakini unakula barabarani,kwa makusudi.
Ndio Mtume kafundisha hivyo?
 
Saa za Zanzibar lazima zinarudi nyuma wakati za wengine zinaenda mbele. Haiwezekani kisiwa maarufu kwa utalii kikataze watu kupika na kula chakula mchana hata kama umejifungia ndani. Sasa hao watalii watakula hewa? Kwanini tulazimishane kufunga? Wagonjwa inakuwaje?

Mbaya zaidi unakamatwa na kupigwa na raia, sio vyombo vya dola. Sio haki wewe umeamka saa kumi na moja umekula, halafu inafika saa saba mchana unapiga watu ambao hawakula alfajiri. Ni hali ya kutostaarabika kabisa. Zanzibar badilikeni, maana hiyo 'nchi' yenu inapokea wagen wengi sana mnaowategemea kwa ajiri ya mapato ya serikali.
Saa za Zanzibar lazima zinarudi nyuma wakati za wengine zinaenda mbele. Haiwezekani kisiwa maarufu kwa utalii kikataze watu kupika na kula chakula mchana hata kama umejifungia ndani. Sasa hao watalii watakula hewa? Kwanini tulazimishane kufunga? Wagonjwa inakuwaje?

Mbaya zaidi unakamatwa na kupigwa na raia, sio vyombo vya dola. Sio haki wewe umeamka saa kumi na moja umekula, halafu inafika saa saba mchana unapiga watu ambao hawakula alfajiri. Ni hali ya kutostaarabika kabisa. Zanzibar badilikeni, maana hiyo 'nchi' yenu inapokea wagen wengi sana mnaowategemea kwa ajiri ya mapato ya serikali.
nakuomba uende zanzibar huu msimu wa ramadhani ukaone hali ilivo. Uone hao watalii wanavoishi halaf njoo na marejesho kwa taarifa yko 2 watalii wanazidi kumiminika
 
Kula hovyo hovyo ndio kukoje, halafu unaposema wanafanya kusudi unamaanisha nini? Na kama haitoshi unampangia mtu sehemu ya kula eti kama unataka kula kaa kwako. Na unaposema siku zisizo za mfungo mtu unakula nyumbani, mantiki yako ni ipi hasa! Acheni kuwa manual ya maisha ya wengine mkuu.
Mwpenda kula kula sana,mtapata viboko,mpaka mtanyooka,magaidi wa kula kula ovyo.Mabwana na bibi afya,siku zote wanafundisha ulaji wa afya,sio kula ovyo,ulaji wenu wa ovyo,mnaeneza maradhi ya mlipuko,kama kipindupindu.
 
Mwpenda kula kula sana,mtapata viboko,mpaka mtanyooka,magaidi wa kula kula ovyo.Mabwana na bibi afya,siku zote wanafundisha ulaji wa afya,sio kula ovyo,ulaji wenu wa ovyo,mnaeneza maradhi ya mlipuko,kama kipindupindu.
Zero brain, afu ukute una mme anajivunia ana mke bora kumbe hovyo kabisa.
 
nakuomba uende zanzibar huu msimu wa ramadhani ukaone hali ilivo. Uone hao watalii wanavoishi halaf njoo na marejesho kwa taarifa yko 2 watalii wanazidi kumiminika
Najua wazungu hamuwagusi, mnawapiga wamatumbi wenzenu tu. Lakini kitendo cha kumpiga mtu kwa kula chakula na video zinaenda youtube, unadhan mzungu atakuwa na amani ya kuja Zanzibar? Hoja yangu ni kwamba mnatafuta bad publicity bila sababu.

Mimi mtu wa bara najiuliza mara mbili kuja huko, sembuse mgeni? Ni ujima kupiga mtu sababu kala chakula chake.
 
Najua wazungu hamuwagusi, mnawapiga wamatumbi wenzenu tu. Lakini kitendo cha kumpiga mtu kwa kula chakula na video zinaenda youtube, unadhan mzungu atakuwa na amani ya kuja Zanzibar? Hoja yangu ni kwamba mnatafuta bad publicity bila sababu.

Mimi mtu wa bara najiuliza mara mbili kuja huko, sembuse mgeni? Ni ujima kupiga mtu sababu kala chakula chake.
Basi kwa watalii wanazidi kuja kipindi hiki
 
Back
Top Bottom