Automata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 3,346
- 4,614
Moja: Muungano upo, na utaendelea kuwepoJapo Naibu kama yupo ile list ya Mawaziri sijaiona na sijui imebandikwa wapi,inayohusiana na Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.
Je uteuzi huu unaashiria mwisho wa kuwepo kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ?...
Mbili: Wazanzibari ni kama watanzania wengine - hawana hati miliki ya nafasi ya uongozi (kwamba ni lazima wawepo)