SAUL BERENSON
Senior Member
- Jan 31, 2017
- 150
- 154
Inashangaza sana kuona kila kukicha huku mainland tunatumbua majipu, tunafukuza kazi watu na tunaburuza watu mahakamani lakini cha ajabu Shein na serikali yake wamekuwa kimya utadhani kuwa zanzibar hakuna ufisadi na hasa ukizingatia wao wana skendo ya airport na za unga.
CUF nao wako kimya husikiii wakiibua maskendo yoyote ya kifisadi kule, na kimya cha maalim seif ndio kimezidi.
Kulikoni huko?
CUF nao wako kimya husikiii wakiibua maskendo yoyote ya kifisadi kule, na kimya cha maalim seif ndio kimezidi.
Kulikoni huko?