Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
CCM Watu wanaowaheshimu japo kuna muda wanawakosoa wameshayachoka sasa haya Majina ya sijui akina Mwinyi, Jumbe na Karume na badala yake wanataka Kuziona Sura mpya kama si ngeni ambazo nazo zitaiongoza Zanzibar kwa Mafanikio makubwa mno na yenye Tija.
Ninawaombeni CCM Mrithi wa Dkt. Ali Mohammed Shein anayemaliza muda wake atoke kwa Mmoja wa hawa niwatajao na ninaowakubali zaidi
1. Mbarawa 51%
2. Nahodha 39%
3. Masauni 10%
Tafadhali CCM wala msipoteze muda wenu kuwajadili sijui watoto wa akina Mzee Mwinyi, Jumbe na Karume kwani hawana tena jipya Kiuongozi.
Ninawaombeni CCM Mrithi wa Dkt. Ali Mohammed Shein anayemaliza muda wake atoke kwa Mmoja wa hawa niwatajao na ninaowakubali zaidi
1. Mbarawa 51%
2. Nahodha 39%
3. Masauni 10%
Tafadhali CCM wala msipoteze muda wenu kuwajadili sijui watoto wa akina Mzee Mwinyi, Jumbe na Karume kwani hawana tena jipya Kiuongozi.