beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Wazanzibari leo wanapiga kura ya mapema ambapo makundi maalum wakiwemo Watumishi wa Tume ya Uchaguzi (ZEC) na Wasimamizi wa Uchaguzi watashiriki katika zoezi hilo.
Mwenyekiti wa ZEC, Jaji Hamid Mahmoud Hamid amesema wanaopiga kura leo watatumia Vituo ambavyo wamejiandikisha, kura zao zitahifadhiwa na kulindwa ili kujumlishwa na kura zitakazopigwa kesho.
Aidha, amesema Vyombo vya Ulinzi pia vitapata nafasi ya kupiga kura leo huku akisisitiza sio Askari wote watakaoshiriki bali ni wale watakaohusika kusimamia shughuli za Uchaguzi.
======
UPDATES: 28-10-2020
DKT. HUSSEIN MWINYI APIGA KURA, AHIMIZA WAZANZIBARI KUENDELEA KUJITOKEZA
Mgombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dkt. Hussein Mwinyi amepiga kura Mjini Unguja ambapo ametoa rai kwa Wazanzibari kuendelea kujitokeza Vituoni kwa ajili ya kupiga kura
Vilevile, Mgombea Mwenza wa Urais JMT, Samia Suluhu Hassan naye amepiga kura Zanzibar na kuwataka walio na wasiwasi kujitokeza kupiga kura akisema hali ipo vizuri
Mwenyekiti wa ZEC, Jaji Hamid Mahmoud Hamid amesema wanaopiga kura leo watatumia Vituo ambavyo wamejiandikisha, kura zao zitahifadhiwa na kulindwa ili kujumlishwa na kura zitakazopigwa kesho.
Aidha, amesema Vyombo vya Ulinzi pia vitapata nafasi ya kupiga kura leo huku akisisitiza sio Askari wote watakaoshiriki bali ni wale watakaohusika kusimamia shughuli za Uchaguzi.
======
UPDATES: 28-10-2020
DKT. HUSSEIN MWINYI APIGA KURA, AHIMIZA WAZANZIBARI KUENDELEA KUJITOKEZA
Mgombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dkt. Hussein Mwinyi amepiga kura Mjini Unguja ambapo ametoa rai kwa Wazanzibari kuendelea kujitokeza Vituoni kwa ajili ya kupiga kura
Vilevile, Mgombea Mwenza wa Urais JMT, Samia Suluhu Hassan naye amepiga kura Zanzibar na kuwataka walio na wasiwasi kujitokeza kupiga kura akisema hali ipo vizuri