secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,609
Hawaruhusiwi kuwa na vyama basi.Vyombo vya Ulinzi navyo vinapiga kura
lkn kura wanapiga kama kawa kwa mujibu wa sheria.
Hawaruhusiwi kuwa na vyama basi.Vyombo vya Ulinzi navyo vinapiga kura
Hawaruhusiwi kuwa na vyama baas...
lkn kura wanapiga kama kawa kwa mujibu wa sheria......
Kura ni siri gwanda zisikutishe!Sasa hizo kura wanawapiga MAJINI?
wewe jamaa siku nikikubamba chocho tupo wawili hakyamungu ama zangu ama zako.Tii sheria bila shuruti
Kura ni siri gwanda zisikutishe!
unaweza kuta wanampigia Seif hao ama Lissu
Kura imeshapigwa tayari na masanduku yamehifadhiwa sehemu salama.ACT Wazalendo na CHADEMA Zanzibar kama kupiga wote tunapiga Leo Leo kama ni kesho wote kesho
Ukoloni sasa basi!
Hakuna kilichopigwa bali wamehalalisha Wizi wao, huko masanduku yanakorejeshwa ndio wanaenda kutia Kura za Wizi. umenisoma?Kura imeshapigwa tayari na masanduku yamehifadhiwa sehemu salama.
Kuna kazi na kufata amri!Polisi atoke kupiga mabomu ya machozi kwenye mkutano wa chadema au ACT WAZALENDO alafu aende kwenye box la kura akampigie lisu au maalim?..
Ushapiga Hiyo Kura au ndio Mzeee Wa kupigia kwenye Keyboard hahahahACT Wazalendo na CHADEMA Zanzibar kama kupiga wote tunapiga Leo Leo kama ni kesho wote kesho
Ukoloni sasa basi!
Hata Makaburu walikuwa wakiwadhihaki akina Mandela sasa Leo yako wapi?Ushapiga Hiyo Kura au ndio Mzeee Wa kupigia kwenye Keyboard hahahah
Kwa hiyo we ni Mandela hahahahhaa nani Wa kumfananisha na mandelaHata Makaburu walikuwa wakiwadhihaki akina Mandela sasa Leo yako wapi?
Time will tellKwa hiyo we ni Mandela hahahahhaa nani Wa kumfananisha na mandela
Yes let time Tell when we are Stable ambako hakutakuwa na madharavkuwaachia wapinzani nchi lakini sio sasa Manonyesha wazi mtavurugaa kabisa nchii hii onayoenda kuwa economic super power ya East Africa....subirini kwanza tuwaandalie mazingira mazuri CHAGUA MAGUFULITime will tell
Kuna kazi na kufata amri!
na inner conscious....