Zanzibar 2020 Zanzibar wapiga kura ya mapema. Makundi yanayoshiriki ni Watumishi wa ZEC na Vyombo vya Ulinzi na Usalama (Oktoba 27, 2020)

Sheikh Ponda atoa maelezo jinsi ya kujihami na Polisi wasiojulikana "Chupa Petroli na Utambi"
 
kula zilizoibiwa leo zinatosha kabisa kumtangaza yule 'gavana' wa Tanganyika mshindi apo zanzibari
 
Nadhani hao ni wabara waliokuja kuokoa jahazi la CCM! Hapo ndipo sasa lile bao la mkono lilipo.
 
Time will tell
Yes let time Tell when we are Stable ambako hakutakuwa na madharavkuwaachia wapinzani nchi lakini sio sasa Manonyesha wazi mtavurugaa kabisa nchii hii onayoenda kuwa economic super power ya East Africa....subirini kwanza tuwaandalie mazingira mazuri CHAGUA MAGUFULI
 
Tunawatakia kila la Kheri Wazanzibari katika uchaguzi wao leo.
 
Back
Top Bottom