Dhambi ya ubaguzi aliyosema Julius hiyoooo, sasa hivi watagundua kwamba hakuna wazanzibari, maana si alisema ni kama kula nyama ya mtu, ukiionja huachi.... mmh babu nae alijuaje haya mambo ya nyama za watu lakini!!!!!!!!!!!!!!!!?
tukinywa baridi au vipi mkuu???
Nyerere alijua hivyo kutokana na mnyama simba kwamba akishaanza kula nyama ya mtu ataendelea kula watu cha msingi simba akishaua mtu ni kumsaka na kumuua so mwl jkn alitumia falsasa hio na si kwamba ashawahi kula nyama ya mtu watu kama wale walikua ni magreat thinker sana
na umeme si tutagoma kuwauzia? Ni ulevi tu wa madaraka na si vinginevyo
mi nakuambia wakifanikiwa kuna nusu ya wazanzibar watahamia bara...
Kwani serikali ni nini kaka!tulia uone game!kwani zinazotengana ni watu au serikali??? Mbona kenya na uganda hata kule uingereza kuna watanganyika na wazanzibari wenye viwanja maduka mashamba hata watoto na maisha yanaenda hamna chuki yoyote ????wewe unaishi ulimwengu gani ??
kikubwa ni muungano kuvunjwa kipindi tukielekea mchakato wa kuunda EAST AFRICAN FEDELETION
limerudi tena SUALA LA ZANZIBAR NI NCHI AU SIO NCHI.
Nawaunga mkono.Wanaharakati wa zanzibar wamefikia hatua hiyo baada ya kuona hawaridhiki na matendo ya Muungano na hatimaye kuwasilisha uhitaji wao wa kujitenga UN.
Mytake: Kama muungano ukivunjika si hamna CCM au? ila ngojea tuwaze plan B
source BBC
Dhambi ya ubaguzi aliyosema Julius hiyoooo, sasa hivi watagundua kwamba hakuna wazanzibari, maana si alisema ni kama kula nyama ya mtu, ukiionja huachi.... mmh babu nae alijuaje haya mambo ya nyama za watu lakini!!!!!!!!!!!!!!!!?
I hope they know this is something real and not a comedy. Waache waende na nawashauri wajipange kuhama na nchi ya Tanganyika pia kama wanauvunja muungano.
Kwani serikali ni nini kaka!tulia uone game!