Huwezijua thamani halisi ya mke mpaka akiondokaKama vp tutemane nao tuanze hangaikia maswala ya Tanganyika
Huwezijua thamani halisi ya mke mpaka akiondokaKama vp tutemane nao tuanze hangaikia maswala ya Tanganyika
Wanaharakati wa zanzibar wamefikia hatua hiyo baada ya kuona hawaridhiki na matendo ya Muungano na hatimaye kuwasilisha uhitaji wao wa kujitenga UN.
Mytake: Kama muungano ukivunjika si hamna CCM au? ila ngojea tuwaze plan B
source BBC
Muungano unavunjwa na UN au Watanzania? akili za madafu hizi wakati mwingine ni shidaWanaharakati wa zanzibar wamefikia hatua hiyo baada ya kuona hawaridhiki na matendo ya Muungano na hatimaye kuwasilisha uhitaji wao wa kujitenga UN.
Mytake: Kama muungano ukivunjika si hamna CCM au? ila ngojea tuwaze plan B
source BBC
Dhambi ya ubaguzi aliyosema Julius hiyoooo, sasa hivi watagundua kwamba hakuna wazanzibari, maana si alisema ni kama kula nyama ya mtu, ukiionja huachi.... mmh babu nae alijuaje haya mambo ya nyama za watu lakini!!!!!!!!!!!!!!!!?
watakao hamia bara ni wazanzibara tu sio wazanzibari,na wazanzibari watahama bara warudi zanzibar,hii sehemu sisi inatuuma sana tuna uhusiano nayo wa moja kwa moja, sisi tuna mali zetu huko bara,nyumba,maduka lakini tukiachana basi tutaviacha na tunasamehe kila kitu.Mi nakuambia wakifanikiwa kuna nusu ya Wazanzibar watahamia Bara...
Muungano unavunjwa na UN au Watanzania? akili za madafu hizi wakati mwingine ni shida
Wacha wajitenge,nasi tubaki na utanganyika wetu.
Maalim na mshabiki wake wanatapatapa !Wanaharakati wa zanzibar wamefikia hatua hiyo baada ya kuona hawaridhiki na matendo ya Muungano na hatimaye kuwasilisha uhitaji wao wa kujitenga UN.
Mytake: Kama muungano ukivunjika si hamna CCM au? ila ngojea tuwaze plan B
source BBC
tusiruhu jamhuri ya pemba wala jamhuri ya unguja. itatuletea balaa. hawa ni wetu tayari tumewakaribisha kuishi tanganyika kibao na vyeo tunawapa hadi uwaziri. yote kuwanusuru wasichinjane.Dhambi ya ubaguzi aliyosema Julius hiyoooo, sasa hivi watagundua kwamba hakuna wazanzibari, maana si alisema ni kama kula nyama ya mtu, ukiionja huachi.... mmh babu nae alijuaje haya mambo ya nyama za watu lakini!!!!!!!!!!!!!!!!?
Mkuu hayi ni yale ya yule mheshimiwa alipokuwa Kanisani au ni yako yanafanana tuu ?tusiruhu jamhuri ya pemba wala jamhuri ya unguja. itatuletea balaa. hawa ni wetu tayari tumewakaribisha kuishi tanganyika kibao na vyeo tunawapa hadi uwaziri. yote kuwanusuru wasichinjane.
Kumbuka maneno ya Abeid Karume, "Muungano ni kama koti likikubana utalivua" yaani alimaanisha ikiwa upanfe mmoja wa Muungano unaona hautendewi haki basi hauna budi kujiondoa, sasa yanini uulazimishe kama ndoa ya kanisa pale awali?Afrika tutaendelea kuwa wajinga na wapumbavu siku zote..
ifike wakati waafrija tupigane vita ya sisi kuungana na siyo vita ya sisi kutengana.
full stop.
Quotes nyengine huwa ni za siri huwa wanasomeshana saunaPaul tena????? Usipoweka quotes zako unakosea kweli