MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 714
- 1,137
Jana rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza mapinduzi akihutubia mwananchi wa Zanzibar katika kuhitimisha maadhimisho ya mapinduzi ya Zanzibar alitoha hotuba nzuri sana. Aligusia mambo mengi sana yaliyofanyika na wanayo tarajia kufanya siku za usoni.
Wameweka kipaumbele kwenye kuzalisha umeme wa Megawatts 18 kwa nguvu za jua. Lakini amesema watapunguza gharama za kuunganisha umeme kutoka laki sita(600,000) mpaka laki mbili(200,000) ili kuwapa uwezo mwananchi wake waweze kuunga umeme ambao ni muhimu sana kwa mwananchi wa Zanzibar.
Lakini cha kushangaza bara wameongeza gharama za kuunganisha umeme wakati wote ni Watanzania. Kuna haja CCM bara na CCM Zanzibar kuwa na malengo ya kufanana kwa baadhi ya mambo hususani huduma za kijamii.
Zanzibar umeme wao wanachukua Tanzania bara japokuwa wana shirika lao la umeme la ZECO lakini cha kushangaza wao wanapunguza gharama sisi tunaongeza gharama
Wameweka kipaumbele kwenye kuzalisha umeme wa Megawatts 18 kwa nguvu za jua. Lakini amesema watapunguza gharama za kuunganisha umeme kutoka laki sita(600,000) mpaka laki mbili(200,000) ili kuwapa uwezo mwananchi wake waweze kuunga umeme ambao ni muhimu sana kwa mwananchi wa Zanzibar.
Lakini cha kushangaza bara wameongeza gharama za kuunganisha umeme wakati wote ni Watanzania. Kuna haja CCM bara na CCM Zanzibar kuwa na malengo ya kufanana kwa baadhi ya mambo hususani huduma za kijamii.
Zanzibar umeme wao wanachukua Tanzania bara japokuwa wana shirika lao la umeme la ZECO lakini cha kushangaza wao wanapunguza gharama sisi tunaongeza gharama