dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Salaam Wakuu,
Huku Zanzibar mambo si Mambo. Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC, ilipanga kupiga kura siku mbili yaani kundi Maalum litapiga kura tarehe 27, na Wengine tarehe 28.
Wananchi wa Zanzibar hasa Pemba, wameanza kulalamikia Majina yatakayo piga kura ya Mapema wakidai si wenyeji wa huko.
Mmoja ya Wazanzibari amenukuliwa akisema "Tukitaka kuwa wakweli wa nafsi zetu tunaoijua Zanzibar na watu wake ni wazi wasiokuwa waislamu tena kutoka Bara ni kundi maalum la kupiga kura mapema. Nasema sio kwa ubaguzi Bali kwa wanaoijua Zanzibar na watu wake wamenielewa. Tulipokuwa tunakataa hii kura sababu tunayajua haya".
Wananchi wanahofia hii kura ya tarehe 27 Oktoba, inaweza kuvuruga Uchaguzi wa Zanzibar.
Huku Zanzibar mambo si Mambo. Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC, ilipanga kupiga kura siku mbili yaani kundi Maalum litapiga kura tarehe 27, na Wengine tarehe 28.
Wananchi wa Zanzibar hasa Pemba, wameanza kulalamikia Majina yatakayo piga kura ya Mapema wakidai si wenyeji wa huko.
Mmoja ya Wazanzibari amenukuliwa akisema "Tukitaka kuwa wakweli wa nafsi zetu tunaoijua Zanzibar na watu wake ni wazi wasiokuwa waislamu tena kutoka Bara ni kundi maalum la kupiga kura mapema. Nasema sio kwa ubaguzi Bali kwa wanaoijua Zanzibar na watu wake wamenielewa. Tulipokuwa tunakataa hii kura sababu tunayajua haya".
Wananchi wanahofia hii kura ya tarehe 27 Oktoba, inaweza kuvuruga Uchaguzi wa Zanzibar.