wanafanya hivyo kwa matakwa ya mungu au kwa matakwa ya kibinadamu..kama mtu umefunga kwa imani dhabiti na kumaanisha..sidhan kama mtu atakula peke yako utatamani..kwanza kutamani ni dhambi tosha...itabdi wawapige marufuku hadi wanawake kuonekana mchana
Lako ilo ila wanavojua wao mwezi huu ni marufuku kula hadharani