abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
[h=1]
Wananchi wa chama cha CUF
Uchaguzi huo ulielezwa na chama CUF pamoja na baadhi ya waangalizi kuwa ulijaa matumizi ya nguvu na udanganyifu. CUF ilikwishasema kwamba haitompa ushirikiano mbunge huyo na tayari imepeleka hoja ya kupinga matokeo mahakamani. Sudi Mnette alizungumza na mwandishi wetu kutoka Zanzibar Salma Said ambaye kwanza anasimulia jinsi hali ilivyokuwa kuhusiana na kutoka barazani kwa wawakilishi hao wa chama cha CUF.
(Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri:Mohammed Abdul-Rahman
Mahojiano ya Sauti ya Ugeruman kati ya Sudi Mnette na Salma Said
Bonyeza Dw
AUDIO | DW.DE