Zanzibar: Viongozi wa UAMSHO wahojiwa na Polisi, kupandishwa kizimbani Jumatatu...

You must be a Nyerere worshiper ...sasa tumewashika pabaya, haki ipatikane kwa wote au ikosekane kwa wote.

Takashi, Haki haipatikani kwa hila! Hulazimiki kujiteka nyara ili haki ipatikane! Ingawa pia haki haiombwi inadaiwa! Cha msingi, kama hoja ya kudai haki iko wazi, ni kusimama kidete na kujenga hoja, siyo kutoa kafara damu za wasio na hatia. Ndo maana tunapiga vita matumizi ya nguvu kupita kiasi katika kukabiliana na watu wanaodai haki zao za msingi!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Takashi, Haki haipatikani kwa hila! Hulazimiki kujiteka nyara ili haki ipatikane! Ingawa pia haki haiombwi inadaiwa! Cha msingi, kama hoja ya kudai haki iko wazi, ni kusimama kidete na kujenga hoja, siyo kutoa kafara damu za wasio na hatia. Ndo maana tunapiga vita matumizi ya nguvu kupita kiasi katika kukabiliana na watu wanaodai haki zao za msingi!

Nakubaliana na maoni yako isipokua hapo kenye red... Angelikua mkristo labda unge weza kuamini kama ni kweli ametekwa nyara.
 
Nakubaliana na maoni yako isipokua hapo kenye red... Angelikua mkristo labda unge weza kuamini kama ni kweli ametekwa nyara.

Mimi Nimediriki kutumia neno hilo kutokana na mkanganyiko wa maneno kati ya Dereva wa Shekh, ambaye anasema Shekh alikwenda mwenyewe kwenye hilo gari la watekaji, ili hali shekh mwenyewe anasema gari la watekaji lilikuja wakati dereva kaenda kununua umeme! Uislam wala ukristo hapo hauna nafasi!
 
Nakubaliana na maoni yako isipokua hapo kenye red... Angelikua mkristo labda unge weza kuamini kama ni kweli ametekwa nyara.

Regardless ni wa dini gani, angekuja na hali inayofanana na Dr Ulimboka ningeamini katekwa nyara. Mikono iliyofungwa na wana-usalama, tena kwa siku tatu inajulikana. Hainyunyiki juu ndugu yangu! And from the pictures you can see Ustadhi ana meno yote mdomoni! Tunashukuru mungu kapata bibi mdogo anayemjali, maana hata ndevu ziko well kept!
 
Mimi Nimediriki kutumia neno hilo kutokana na mkanganyiko wa maneno kati ya Dereva wa Shekh, ambaye anasema Shekh alikwenda mwenyewe kwenye hilo gari la watekaji, ili hali shekh mwenyewe anasema gari la watekaji lilikuja wakati dereva kaenda kununua umeme! Uislam wala ukristo hapo hauna nafasi!

Nakushauri uisikilize tena hiyo audio clip , ziko mbili moja ya dereva na moja ya sheikh Farid...Tafadhali usisome maelezo ya mtu mwengine kwa kumnukuu dereva au sheikh Farid...Audio zote zipo maneno yao wenyewe "unedited".
 
Regardless ni wa dini gani, angekuja na hali inayofanana na Dr Ulimboka ningeamini katekwa nyara. Mikono iliyofungwa na wana-usalama, tena kwa siku tatu inajulikana. Hainyunyiki juu ndugu yangu! And from the pictures you can see Ustadhi ana meno yote mdomoni! Tunashukuru mungu kapata bibi mdogo anayemjali, maana hata ndevu ziko well kept!

Una maoni gani kwenye tamko la Chadema ambalo limesema:

"Kitendo cha kumkamata na kumshikiria Sheikh Farid, huku serikali na vyombo vyake vikisema havihusiki, wakati ukweli ni kuwa alikuwa anashikiliwa na watu wa Usalama wa Taifa, ni uharamia mkubwa unaopaswa kulaaniwa na wote wanaolitakia mema taifa hili"

Huoni kuwa kutolaani kwako kitendo hicho kunakufanya kuwa miongoni mwa wasiolitakia mema Taifa? (kwa mujibu wa Chadema)
 
Una maoni gani kwenye tamko la Chadema ambalo limesema:

"Kitendo cha kumkamata na kumshikiria Sheikh Farid, huku serikali na vyombo vyake vikisema havihusiki, wakati ukweli ni kuwa alikuwa anashikiliwa na watu wa Usalama wa Taifa, ni uharamia mkubwa unaopaswa kulaaniwa na wote wanaolitakia mema taifa hili"

Huoni kuwa kutolaani kwako kitendo hicho kunakufanya kuwa miongoni mwa wasiolitakia mema Taifa? (kwa mujibu wa Chadema)

Unaniuliza mimi hilo swalo au unawauliza CHADEMA?

Pili, nimetoa a very good picture ya mtu aliyetekwa nyara na wana-usalama, tena muda mfupi kuliko huyo Ustadhi.

Tatu na mwisho, dereva wa ustadhi anaelezea jinsi ustadhi alivyoshuka toka kwenye gari moja na kuingia kwenye gari jingine bila ya 'any physical body' kumlazimisha! Kwa maelezo ya huyo dereva ni sawa na mtu kufika kwenye kituo cha basi akashuka toka basi moja na kuingia kwenye basi jingine and off they went.

Ni muda gani alishikwa nyara? Ni ndani ya hilo gari alimoingia mwenyewe?
 
Unaniuliza mimi hilo swalo au unawauliza CHADEMA?

Pili, nimetoa a very good picture ya mtu aliyetekwa nyara na wana-usalama, tena muda mfupi kuliko huyo Ustadhi.

Tatu na mwisho, dereva wa ustadhi anaelezea jinsi ustadhi alivyoshuka toka kwenye gari moja na kuingia kwenye gari jingine bila ya 'any physical body' kumlazimisha! Kwa maelezo ya huyo dereva ni sawa na mtu kufika kwenye kituo cha basi akashuka toka basi moja na kuingia kwenye basi jingine and off they went.

Ni muda gani alishikwa nyara? Ni ndani ya hilo gari alimoingia mwenyewe?

Hoja mbele yetu ni kuwa CHADEMA ina uhakika kuwa Sheikh Farid alitekwa nyara. Na kutokana na uhakika huo ndio imesema asiyelaani kitendo cha serikali basi halitakii mema Taifa

Wewe kama mtu unaejinasabisha na CHADEMA, unalionaje tamko hilo hasa ukizingatia kuwa maoni yako ni kinyume na uhakika wa Chama.

Kama ni obvious kuwa sheikh Farid hakutekwa, kwa nini Chama kimesema kina uhakika kuwa alitekwa na serikali?

Kama chama kinasema uongo, jee tutakiaminije kwa mengine wakati kwa hili la obvious limesema uongo wa wazi?

Kwa nini watu wakiamini chama ambacho kinasema uongo kwa mambo ya dhahiri?
 
Wakuu,

Kutakuwa na Joint Press Conference itakayofanywa na Jeshi la Polisi (Z'bar) wakiwa na Sheikh Fareed wa Uamsho. Najitahidi kuweza kuwarushia nini kimeongelewa kadiri nitakavyoweza.

Ni muda wowote kuanzia saa nne za asubuhi kwa mida ya Tanzania. Kwa sasa jamaa yupo Polisi. Huenda akahojiwa kwanza au wakaanza na Press Conference ili waachane na vyombo vya habari.

Tayari vyombo vya habari wapo hapa wakisubiri kujua nini kinaendelea.

>>~~~~~~<<
UPDATES:

Mpaka saa 4 usiku, walikuwa wanaendelea kuhojiwa na tayari imefahamika kuwa watafikishwa mahakamani Jumatatu.

Vyombo vya usalama vimejiandaa kukabiliana na purukushani za aina yoyote toka kwa wafuasi wa Uamsho.

kamishna ukifa utasomewa marisala meeeng na marefu lakini ALLAH hatakuuliza kazi yako,,,,,,,
 
Unaniuliza mimi hilo swalo au unawauliza CHADEMA?

Pili, nimetoa a very good picture ya mtu aliyetekwa nyara na wana-usalama, tena muda mfupi kuliko huyo Ustadhi.

Tatu na mwisho, dereva wa ustadhi anaelezea jinsi ustadhi alivyoshuka toka kwenye gari moja na kuingia kwenye gari jingine bila ya 'any physical body' kumlazimisha! Kwa maelezo ya huyo dereva ni sawa na mtu kufika kwenye kituo cha basi akashuka toka basi moja na kuingia kwenye basi jingine and off they went.

Ni muda gani alishikwa nyara? Ni ndani ya hilo gari alimoingia mwenyewe?

Kwa taarifa yako , viongozi wa Uamsho sio mara ya kwanza kutekwa. Sheikh Farid , ameshawahi kutekwa kabla ya tukio hili la majuzi. Mara ya kwanza baada ya kumteka ,alipata kibano baadae wakamtupa msituni. Sheikh Mussa, alitekwa akiwa msikitini anatoa mawaidhwa.

Kwanini waseme oungo wakati serikali yenyewe inafanya haya mambo ya kuteka raia zake ? Au labda utoe definition ya hilo neno "kutekwa au kutekwa nyara"
 
Takashi, Haki haipatikani kwa hila! Hulazimiki kujiteka nyara ili haki ipatikane! Ingawa pia haki haiombwi inadaiwa! Cha msingi, kama hoja ya kudai haki iko wazi, ni kusimama kidete na kujenga hoja, siyo kutoa kafara damu za wasio na hatia. Ndo maana tunapiga vita matumizi ya nguvu kupita kiasi katika kukabiliana na watu wanaodai haki zao za msingi!

unaongelea kwa muktadha wa kidini au hata kisiasa?????
 
Hoja mbele yetu ni kuwa CHADEMA ina uhakika kuwa Sheikh Farid alitekwa nyara. Na kutokana na uhakika huo ndio imesema asiyelaani kitendo cha serikali basi halitakii mema Taifa

Wewe kama mtu unaejinasabisha na CHADEMA, unalionaje tamko hilo hasa ukizingatia kuwa maoni yako ni kinyume na uhakika wa Chama.

Kama ni obvious kuwa sheikh Farid hakutekwa, kwa nini Chama kimesema kina uhakika kuwa alitekwa na serikali?

Kama chama kinasema uongo, jee tutakiaminije kwa mengine wakati kwa hili la obvious limesema uongo wa wazi?

Kwa nini watu wakiamini chama ambacho kinasema uongo kwa mambo ya dhahiri?

You are wrong to assume watu wanachangia hapa JF wana-belong to party A or B or C etc. Nadhani ndio msingi wa hoja yako. Ningekushauri kama unataka maelezo ya chama chochote uelekeze kunakohusika. I believe Tumaini Makene anaweza maelezo ya CHADEMA.

:focus:
 
You are wrong to assume watu wanachangia hapa JF wana-belong to party A or B or C etc. Nadhani ndio msingi wa hoja yako. Ningekushauri kama unataka maelezo ya chama chochote uelekeze kunakohusika. I believe Tumaini Makene anaweza maelezo ya CHADEMA.

:focus:

Wrong kwa misingi ipi? Mbona hamkawii kuwaelekeza kina Ritz na zomba masuali yanayohusiana na CCM au Waislam?

Kimsingi ni kuwa, chama chochote cha kisiasa pamoja na mengine kitaangaliwa kwa mujibu wa matendo ya wanachama wake.

Mtu anaonekana wazi kujinasabisha na CHADEMA anapopingana kwa digrii 180 na chama chake kwenye suala fulani, kunaibua masuala mengi sana kwa watu (na katika suala hili ni watu wengi wanaojinasabisha na CHADEMA wanaopingana na msimamo wa chama chao)

Jee chama kinasema uongo ili tu kuvutia hisia za watu wa jamii fulani? Na kama kinafanya hivyo, jee ni yepi mengine ambayo kimesema ilhali ni uongo wa kutupwa, katika dhamira za kurubuni wananchi ili wakikubali?

Na kama chama kinasema ukweli, ni kwa nini wafuasi wa chama hicho wameonyesha kutokukubaliana nacho licha ya kuwa wafuasi hawa huwa wapo mstari wa mbele kutetea misimamo ya chama wakati mwengine?

Jee kuna taizo la udini kwenye wafuasi wa chama?


Chama ni watu, na watu ni nyinyi .....
 
Last edited by a moderator:
Wrong kwa misingi ipi? Mbona hamkawii kuwaelekeza kina Ritz na zomba masuali yanayohusiana na CCM au Waislam?

Kimsingi ni kuwa, chama chochote cha kisiasa pamoja na mengine kitaangaliwa kwa mujibu wa matendo ya wanachama wake.

Mtu anaonekana wazi kujinasabisha na CHADEMA anapopingana kwa digrii 180 na chama chake kwenye suala fulani, kunaibua masuala mengi sana kwa watu (na katika suala hili ni watu wengi wanaojinasabisha na CHADEMA wanaopingana na msimamo wa chama chao)

Jee chama kinasema uongo ili tu kuvutia hisia za watu wa jamii fulani? Na kama kinafanya hivyo, jee ni yepi mengine ambayo kimesema ilhali ni uongo wa kutupwa, katika dhamira za kurubuni wananchi ili ikikubali?

Na kama chama kinasema ukweli, ni kwa nini wafuasi wa chama hicho wameonyesha kutokukubaliana nacho licha ya kuwa wafuasi hawa huwa wapo mstari wa mbele kutetea misimamo ya chama wakati mwengine?

Jee kuna taizo la udini kwenye wafuasi wa chama?


Chama ni watu, na watu ni nyinyi .....

Naamii sikukosea niliposema, you are wrongly assuming hapa JF watu wote wapo either chama A or B or C etc. Ndio kuna wanachama wa vyama but at the same time wapo watu, tena wengi sana wananojinasabisha na HOJA na sio CHAMA for the sake of CHAMA. Mtu anaamini kwenye principles fulani na ndizo zinakuwa basis ya hoja zake.
 
Naamii sikukosea niliposema, you are wrongly assuming hapa JF watu wote wapo either chama A or B or C etc. Ndio kuna wanachama wa vyama but at the same time wapo watu, tena wengi sana wananojinasabisha na HOJA na sio CHAMA for the sake of CHAMA. Mtu anaamini kwenye principles fulani na ndizo zinakuwa basis ya hoja zake.

Hakuna sehemu nilipo assume kuwa watu wote hapa JF wapo kwenye chama fulani. Hakuna pahali nilipofanya assumption hiyo.

Kimsingi ni kuwa, while umekuwa mkubwa wa kutetea hoja za Chadema kwa msingi wa principles zako, umeshindwa kutoa comment yoyote kwenye hili kwa vile hoja ya Chadema haiendani na let's say "principles" zako hata pale unapoombwa kufanya hivyo.

Nitarudia suali langu kwako: Chadema inasema inauhakika kuwa Sheikh Farid alitekwa na serikali, jee unaizungumziaje kauli hiyo?
 
Muamsho bwana! Hizi vurugu zinatupeleka wapi jamani!! Serikali yenyewe ndio hii, haina dini. Itafanyaje?
 
Hakuna sehemu nilipo assume kuwa watu wote hapa JF wapo kwenye chama fulani. Hakuna pahali nilipofanya assumption hiyo.

Kimsingi ni kuwa, while umekuwa mkubwa wa kutetea hoja za Chadema kwa msingi wa principles zako, umeshindwa kutoa comment yoyote kwenye hili kwa vile hoja ya Chadema haiendani na let's say "principles" zako hata pale unapoombwa kufanya hivyo.

Nitarudia suali langu kwako: Chadema inasema inauhakika kuwa Sheikh Farid alitekwa na serikali, jee unaizungumziaje kauli hiyo?

Gaijin, unataka nikupe maelezo ya chama cha siasa -CHADEMA. From the outset nimekuambia - several times infact kuwa, mimi sio msemaji wa chama and I went as as giving jina la msemaji wa CHAMA. Kwa nini usiulize kunakohusika badala la kulazimisha kitu ambacho hakiwezekani?

Kuna tofuati kubwa kati ya kuchangia hoja as an individual na kuwa msemaji wa chama. Mimi sio msemaji wa chama. Why is this not registering in your head?

Now, kama unataka maelezo yangu kuhusu hoja iliyopo hapa, let me say it, again, mtu aliyetekwa nyara na wana-usalama anafanana na Dr Ulimboka. That's the kind of picture I have in my head. Hatoki huko alikokuwa na wana usalama msafi na ndevu well kept na meno yote intact!

Sasa go & get notes from others but that's my response.
 
Gaijin, unataka nikupe maelezo ya chama cha siasa -CHADEMA. From the outset nimekuambia - several times infact kuwa, mimi sio msemaji wa chama and I went as as giving jina la msemaji wa CHAMA. Kwa nini usiulize kunakohusika badala la kulazimisha kitu ambacho hakiwezekani?

Kuna tofuati kubwa kati ya kuchangia hoja as an individual na kuwa msemaji wa chama. Mimi sio msemaji wa chama. Why is this not registering in your head?

Now, kama unataka maelezo yangu kuhusu hoja iliyopo hapa, let me say it, again, mtu aliyetekwa nyara na wana-usalama anafanana na Dr Ulimboka. That's the kind of picture I have in my head. Hatoki huko alikokuwa na wana usalama msafi na ndevu well kept na meno yote intact!

Sasa go & get notes from others but that's my response.

Sijaomba msimamo wa kichama kwa sababu msimamo wa kichama upo wazi kuwa Chama kinauhakika kuwa Sheikh Farid alitekwa.Mimi ninauliza msimamo wako wewe binafsi juu ya kauli hiyo ya chama.

Lakini unaonekena kuchukua stance ya kutotaka kusema chochote juu ya msimamo huo wa chama, kana kwamba chama kikuu cha upinzani ambacho wewe unakubaliana nacho Mara zote kwenye misimamo yake hakijasema kitu!

Na sasa kunaibua suali kubwa zaidi, kwanini watu wanaokubaliana na hoja za Chadema kimsingi wawe katika tofauti kubwa kiasi hichi hata kushindwa kuitambua (ama kwa kuikubali au kuipinga) kauli hiyo?

Kuna nini kwenye tamko hilo la chama?
 
Kiburi chote cha hawa jamaa ni hiki..

Rais wa Tanzania Jakaya Khalfan Kikwete

Makamu wa Rais-Ghalib Bilal
Jaji mkuu wa Tanzania-Mohamed Chande Othman
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania-Hussein Kattanga
IGP Tanzania –Said Mwema
Kanda Maalum (polisi) Dar Suleiman Kova

List inaendelea

alaaa kumbe!
 
Back
Top Bottom