Watu
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 3,231
- 1,470
Wakuu,
Kutakuwa na Joint Press Conference itakayofanywa na Jeshi la Polisi (Z'bar) wakiwa na Sheikh Fareed wa Uamsho. Najitahidi kuweza kuwarushia nini kimeongelewa kadiri nitakavyoweza.
Ni muda wowote kuanzia saa nne za asubuhi kwa mida ya Tanzania. Kwa sasa jamaa yupo Polisi. Huenda akahojiwa kwanza au wakaanza na Press Conference ili waachane na vyombo vya habari.
Tayari vyombo vya habari wapo hapa wakisubiri kujua nini kinaendelea.
Nimeamini kweli ni wamoja hao, matukio yametengenezwa ila sijui kwa faida ya nani?