Waziri wa Afya Nassor Mazrui (ACT-Wazalendo) akimkabidhi ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Riziki Pembe Juma (CCM) wakati wa makabidhiano ya ofisi. Awali Mazrui alikuwa waziri wa Afya Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto.
================
Ikiwa viongozi wa ACT ndani ya SUK wanatumia Ilani ya CCM kuendesha serikali, lini ajenda zao watazitekeleza.
================
================
Ikiwa viongozi wa ACT ndani ya SUK wanatumia Ilani ya CCM kuendesha serikali, lini ajenda zao watazitekeleza.
================