ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 602
- 1,526
Vikosi vya SMZ jana usiku walivamia Barza ya Mwanakombo; hii ni Ofisi ya Ngome ya Vijana wa @ACTwazalendo. Vitu walivyoiba ni Tv na Viatu, pia waliondoka na Mlingoti wa Bendera.
Aidha leo hii Naibu Katibu Mkuu wetu upande wa Zanzibar ametekwa na watu wanaosemakana kuwa ni Vijana wa Jeshi la JKU.
Kiongozi wa Chama Ndugu Zitto Kabwe kupitia akaunti yake ya Twitter, amezitaka Mamlaka za Zanzibar kumuachilia mara moja Ndugu Mazrui.
Aidha leo hii Naibu Katibu Mkuu wetu upande wa Zanzibar ametekwa na watu wanaosemakana kuwa ni Vijana wa Jeshi la JKU.
Kiongozi wa Chama Ndugu Zitto Kabwe kupitia akaunti yake ya Twitter, amezitaka Mamlaka za Zanzibar kumuachilia mara moja Ndugu Mazrui.