Jamani haya mambo ya kishamba tuacheni hii kane ya 21 watu washindane kwa hoja sio mambo ya kutekana hatuhitaji kufika huko amani ya nchi hii ni muhimu kuliko maslahi ya mtu au chama. pigeni kampeni wacha watu waamue wakichagua hovyo watajifunza wenyewe.
Hatujamaliza mambo ya mashekh mnaanza huu ujinga kwanini? watu wamechoka amani? kulikuwa na watu wana nguvu na wako mpaka leo huko Belarus yule alikuwa haguswi lakini anapambana na watu huu mwezi wa pili sembuse sisi. Waachieni wote waliofungwa kisiasa tushindane tu kwa amani. Naiombea amani nchi yangu maana kurudisha amani ni miaka kuvunja siku moja tu.
Hatujamaliza mambo ya mashekh mnaanza huu ujinga kwanini? watu wamechoka amani? kulikuwa na watu wana nguvu na wako mpaka leo huko Belarus yule alikuwa haguswi lakini anapambana na watu huu mwezi wa pili sembuse sisi. Waachieni wote waliofungwa kisiasa tushindane tu kwa amani. Naiombea amani nchi yangu maana kurudisha amani ni miaka kuvunja siku moja tu.