Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,246
- 5,756
Vijana wa kiume au wa kike ....???
Na mara nyingi anaepanyooshea kidole kwa mwenziwe kuwa kumechacha anakua hajui ni kiasi kwake kumeoza!!vijana kupenda mtelezo na ugumu wa maisha watu wanahangamia kila kona ila kuna sehemu ni midset imejengwa watu wanapashooshea vidole kwa sana
Unadhani kwa nini zanzi inashambuliwa..?huko ndio kwenye kitovu cha dini ya mnyazi mungu..wazee wa dini ya hakhi..sasahivi zenji kumeharibika...wataliano na waaarabu wanazidi kufukua tope za wazenji...inasikitisha sanaMaharibiko kwa kweli yapo kila sehemu, unapomnyooshea kidole mwenzako kuhusu kitu fulani hakikisha hicho kitu wewe au kwa upande wako hakifanyiki.
Unapoinyooshea kidole Zanzibar hakikisha yanayoendelea Zanzibar basi upande wa pili hayafanyiki au hakuna vijana wenye maharibiko kiasi hicho bila ya hivyo ni useless.
Kiujumla kwa sasa mikoa yote ya bara ndio inayoongoza kwa kuwa na machoko kuliko hata hiyo Zanzibar!
Shehe hapa Unguja ni rahisi kupata biqra ya Binti kulio upande wa piliZanzibar Vijana wameharibika sana miaka 10 ijayo hakutakua na vijana hapa
Wakuu nimekata maji nipo upande wa pili wa muungano katika nchi ya Zanzibar
Nikiri nina miaka 11 sijaitembelea Zanzibar
Mara ya mwisho ni mwaka 2010 ndo nilikua huku
Hii nchi vijana wameharibika sana ukiambiwa ndo ile Zanzibar ya maadili, Zanzibar kisiwa cha watu wacha mungu watu wanaoijua dini, Zanzibar iliyokua kituo cha maarifa ya kiislam, na utamaduni wa kiswahili na ustaarabu Afrika mashariki na kati leo hii panahuzunisha sana.
Hapa nazungumzia Vijana wa Unguja,Vijana wameharibika sana huku sijui ndo hawa watalii au sijui ninini kuna mambo yanafanyika Zanzibar machafu hata bara hayafanyiki
Zamani nikiri sisi wabara ndo tulikua tunaonekana tunapeleka maadili yasofaa huku kisiwani asahivi vipi tena.
Makuzi ya vijana huku sijui ndo tatizo? Kama kijana wako anakulia Zanzibar jiandae kisaikolojia tu
Kiukweli watu wameharibika humu kimaadili au vijana wanapenda mteremko au shortcut?Au vijana hawataki kufanya kazi? Au ni utandawazi...Dunia imeharibika lakini sio kwa kiwango hiki
Watalii wameharibu vijana wengi sana hapa Zanzibar yaani Zanzibar Unguja ni tel-aviv ijayo najua mshanielewa.Mliofika Zanzibar siku za karibuni ni mashahidi wa niyazungumzayo
Hizi fukwe ziangaliwe upya,,,hawa watalii waangaliwe upya sikatai watalii lakini kuna haja ya kuwa na taratibu maalum maalum maana utalii umeharibu vijana wengi sana wamekua "machachi"
Miaka 20 au 10 jiandaeni kuwa na asilimia 95 ya vijana "machachi" kama hatuwa hazitochukuliwa mapema
Mnyazi? Hakhi? Vp Parokiani mbona mule mule? Padiri Hana mke unategemea nn?Unadhani kwa nini zanzi inashambuliwa..?huko ndio kwenye kitovu cha dini ya mnyazi mungu..wazee wa dini ya hakhi..sasahivi zenji kumeharibika...wataliano na waaarabu wanazidi kufukua tope za wazenji...inasikitisha sana
#MaendeleoHayanaChama