Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,235
- 8,779
Mazombi yakiongozwa na Polisi ya CCM yafanya ugaidi wa kuwashambulia wananchi tukielekea uchaguzi .
Wakaazi wa eneo la Kisauni, magharibi mwa kisiwa cha Unguja, wanasema kuwa usiku wa jana (Ijumaa 14 Februari 2020), walivamiwa na kundi la mazombi likisindikizwa na jeshi la polisi, baadhi yao wakapigwa, kuvunjiwa nyumba zao na kuibiwa fedha na vitu vyengine.
Wakaazi wa eneo la Kisauni, magharibi mwa kisiwa cha Unguja, wanasema kuwa usiku wa jana (Ijumaa 14 Februari 2020), walivamiwa na kundi la mazombi likisindikizwa na jeshi la polisi, baadhi yao wakapigwa, kuvunjiwa nyumba zao na kuibiwa fedha na vitu vyengine.