Zanzibar Tunasubiri sehemu yetu ya Fedha za (BAE UK) kwa TZ

vultures.

Watu wa aina hii ndiyo wale wale wanaotoa macho wazazi wao wafe ili wapate urithi, wakiji convince ni "hela zetu".

Unaweza kuweka figures za contribution ya Zanzibar katika our meager GDP?

Ingefaa kuangalia haya mambo.

"God" bless the child that has got his own.
 
Inatubidi tuwe tunakumbushana mapema ili kuepusha mivutano .
Kwenye migawo mna super memory eeh!
Mbona kwenye kununua mlikuwa pua chini, na wakati tunalalama juu ya ufisadi wa hii maneno mlikuwa kando mnapiga gahawa!!
 
Hahahaha umeme tu mmesahaulika hizo pesa tayari zimesha undiwa kamati ni za uchaguzi kwa ajili ya kuwaghalagaza.
 
kutoka TZ au Tanganyika??? mbona unaconfyuzi mambo? au hata historia hujui.jibu pls...
"SALUTE"
 
acheni kufanya kazi, kwa mategemeo ya kupata vya bure tu, Watu wengine taabu kwelikweli,samaki mbona mlisusia???
 
Inatubidi tuwe tunakumbushana mapema ili kuepusha mivutano .
acha uchokozi yakhe, kwenye fweza unasema tunasubiri fweza yetu kama Watanzania ila kwenye mafuta kwenye kikombe ya Wazanzibar tu na sio Watanganyika! hatuna hiyana 4.5% ya hizo watakazotoa BAE ni halali yako!
 
acheni kufanya kazi, kwa mategemeo ya kupata vya bure tu, Watu wengine taabu kwelikweli,samaki mbona mlisusia???

Kwa tarifa yako samaki hawakususiwa, isipokuwa moja kati ya miongoni mwa sifa za wazanzibari ni kinai na kutokana na kinai hiyo ndio wakasema madhali kutokea mwanzo hamkuwa na niya ya kugawa kama katiba ninavyosema na kujifanya hamnazo , ndipo hapo wazanzibari wakasema kuleni nyie hao samaki,lakini basi pia ifahamike unapokuwa na mshirika anapenda kufakamia hata cha mwenziwe katika mazingira yeyote yale mtu kama hao anakuwa na sifa ya shida kuzivalia kibwebwe.
 
Kwa tarifa yako samaki hawakususiwa, isipokuwa moja kati ya miongoni mwa sifa za wazanzibari ni kinai na kutokana na kinai hiyo ndio wakasema madhali kutokea mwanzo hamkuwa na niya ya kugawa kama katiba ninavyosema na kujifanya hamnazo , ndipo hapo wazanzibari wakasema kuleni nyie hao samaki,lakini basi pia ifahamike unapokuwa na mshirika anapenda kufakamia hata cha mwenziwe katika mazingira yeyote yale mtu kama hao anakuwa na sifa ya shida kuzivalia kibwebwe.

He! nilikua sijui hivi kumbe na samaki wa magufuli wa mwaka jana ni moja ya mambo yaliyopo kwenye muungano?....
 
...kinai.......duh!mambo ya kiswahili bwana..!sasa kwa nini na hizi wasizikinai...?!au sababu hazina uvundo wa samaki (just kidding....)
 
Inatubidi tuwe tunakumbushana mapema ili kuepusha mivutano .

Hizo hela zinaenda kwenye Serikali ya Muungano wa Tanzania meaning Zanzibar included. Wakati rada hiyo ina nunuliwa pesa zilitoka kwenye serikali ya muungano siyo kwamba Zanzibar iliombwa itoe pande ya bajeti yake kwa ajili ya rada. SO usijali mkuu cha muungano ni chenu pia. Hizo pesa zita wanufaisha pia.
 
Ni bora mkaanza kwanza na kukagua vitabu vya People's Bank of Zanzibar (PBZ) toka enzi hizo. Halafu wanahisa wake mnawafahamu?
 
Hizi pesa hazitarudishiwa serikali kwani wao walipata mgao wao yaani kupata rada. Kwa taarifa tu pesa hizi zitapelekwa kwenye vyama vya kijamii (charities) au bongo tuna NGOs kibao. Kama zanzibar mnaweza anzisheni NGOs nyingi ili mpate mgao

'Outrage' as BAE Systems probes end after £280m deal


Campaigners have attacked a deal struck by UK defence contractor BAE Systems to end inquiries into its affairs. The firm is to admit two criminal charges and pay fines of £286m ($447m) to settle US and UK investigations.
The Campaign Against the Arms Trade said it was "outraged and angry" that claims of corruption, which BAE has not admitted, would not be aired in court.
Liberal Democrat MP Norman Lamb said more should have been done to probe the "very serious" allegations.

'Wilfully misleading'
The move follows corruption investigations into deals that BAE Systems secured from Saudi Arabia, Tanzania, the Czech Republic, South Africa and Hungary.
Under the agreement, announced on Friday, BAE will hand over more than £250m to the US, which had accused it of "wilfully misleading" US investigators over payments made as the firm tried to win contracts.

The defence group will pay about £30m in the UK - a record criminal corporate fine - for separate wrongdoings.

BAE has also reached agreement with the UK Serious Fraud Office (SFO) to plead guilty to a breach of duty to keep accounting records.

The UK charge stems from a $39.5m (£25.2m) contract signed in 1999 to supply a radar system to Tanzania, and relates to payments to a former marketing adviser in the east African country.
Part of the fine will be a charity payment which will go to Tanzania.

US and UK authorities have been investigating the case for about eight years and it is believed to be the first time the two countries have co-ordinated such a corporate corruption "plea bargain".

However, Mr Lamb, who has campaigned for BAE to face charges, said he was concerned that "allegations of corruption involving contracts in a number of countries" would not be subject to the full judicial process.

He added: "Ultimately the charges that we see admitted are administrative charges, not charges of corruption."

The Campaign Against the Arms Trade dismissed the £30m UK fine as a "tiny price" for BAE in the wake of an abortive investigation by the Serious Fraud Office (SFO) into the company's contracts in Saudi Arabia.

'More questions'
Spokeswoman Kaye Stearman said: "After the government stopped the SFO's inquiry into the company's Saudi deals, it was even more important the truth about its dealings in central and eastern Europe and Africa was made public.

The UK charge relates to BAE's dealings in Tanzania and Ms Stearman added: "CAAT is outraged and angry that the allegations about BAE will not be aired in a criminal court and that the Serious Fraud Office has accepted a plea bargain relating only to the smallest deal."
Nicholas Hildyard, of social justice campaign group The Corner House, called for the UK to reopen all its investigations into the company.

He added that the announcement "simply raises far more questions and creates yet further demands for justice".

The last of the offences was committed in 2002 and BAE says it has since reformed the way it conducts business.

The firm said its pleas did not relate to accusations of corruption or bribery but that it "regretted" shortcomings.

"We're satisfied with that global settlement," said chairman Dick Olver.
"It allows us to draw a very heavy line under the legacy, the historical issues. We're obviously pleased to see uncertainty removed for our shareholders."

Lord Goldsmith, the former attorney general from 2001-2007, told the BBC he "strongly supported" the new plea bargaining approach of the SFO.
"This is one of the most significant things about this settlement, it is the first time there has been a plea bargain of this sort," he said.

"And it is one of the things we are learning from the United States - that's the way to deal with these issues and companies need to understand that."

He also said after the SFO had dropped the investigation into the Saudi Arabian deals, he had ensured they were given enough cash to "vigorously and rigorously" investigate the allegations in relation to Tanzania, the Czech Republic and South Africa.

In its deal with the US Department of Justice (DoJ), BAE admitted a charge of conspiring to make false statements to the US government charge filed in a District of Columbia court contains details of substantial secret payments by BAE to an unnamed person who helped the UK firm sell plane leases to the Hungarian and Czech governments.

Accounting records
The DoJ also details services such as holidays provided to an unnamed Saudi public official and cash transfers to a Swiss bank account that it says were linked to the £40bn Al-Yamamah contract to supply military equipment to Saudi Arabia.

Also, the DoJ gave a damning condemnation of BAE, which it said had accepted "intentionally failing to put appropriate, anti-bribery preventative measures in place", despite telling the US government that these steps had been taken.

It then "made hundreds of millions of dollars in payments to third parties, while knowing of a high probability that money would be passed on to foreign government decision-makers to favour BAE in the award of defence contracts", the DoJ said.

There was also an infringement of restrictions on the supply of sensitive US technology in deals to supply aircraft in Hungary and the Czech Republic.

Source: BBC
 
Hahahaha umeme tu mmesahaulika hizo pesa tayari zimesha undiwa kamati ni za uchaguzi kwa ajili ya kuwaghalagaza.

Naam hizi zote zitaingia katika mfuko wa hazina ya CCM kwa ajili ya October 2010.
 
Kama nimeelewa vyeama ni kwamba hizo $28M ni kiasi kilichozidi baada ya bei kuzidishwa, hivyo basi pesa hizi zitarudi kule zilikokuwa. Hili sio pato ni pesa zilizozidishwa makusudi na wajanja ili wajipatie vijisenti. Hivyo zitarudi zilikotoka!
 
Back
Top Bottom