haikuwa kura ya kumchagua rais,hii ilipigwa na wapenda soka tu tena sio woteYanga imeongoza kwa kura 4900 kati ya kura 5500, ni Nchi gani hiyo yenye wananchi 5500?
Halafu nchi gani hiyo ambayo wananchi wa club hiyo kwenye mitandao ya kijamii followers kwenye page ya timu yao hawazidi 1M?
mkuu.........manara hakufanya research but aliongozwa na emotion so MANARA alilopokaOna ulivyo mjinga, sasa kama hizo research zinafanyika kimatabaka unakujaje ku generalize kwa kuwahusisha watu wote?
Kwa hiyo mimi nikisema watu wa yanga hamna akili kwasababu research ya manara ilisema mwenye akili ni baba yake na kikwete, nitakua sahihi?
they say I'm crazy for looking for truth jibu lipo hapa,,,,,,,,,,,,,,,,............Mliwaalika brazil kusheheresha shuhuli gani?
Yanga imealikwa kama kikundi cha ngoma kwa ajili ya kusherehesha, hilo la mpira ni kama la ziada tu
tupe elimu kidogo mkuukwahiyo MAZUZU 4000 ndiyo yaliwakilisha Utopolo ktk hiyo sampuli.
Halafu huna elimu ya kutosha kuhusu RESEARCH na maswala ya SAMPLE SELECTION. Siku nyingine usilitumie Tena hilo neno research. Kumbafu utopolo wewe.
Kwani nyie si mna takwimu yenu ile ya bwana bwanyenye MO kwanini uteseke na haka la research kadogo tu?Yanga imeongoza kwa kura 4900 kati ya kura 5500, ni Nchi gani hiyo yenye wananchi 5500?
Halafu nchi gani hiyo ambayo wananchi wa club hiyo kwenye mitandao ya kijamii followers kwenye page ya timu yao hawazidi 1M?
Makoloukisema ivyo kama hakuna mashahidi Makolo wanakuua na kula nyama
Unapanic nini nyoko wewe, hao waliopiga kura sio makolo kama wewe, ni watu wenye uelewa mpana.kwahiyo MAZUZU 4000 ndiyo yaliwakilisha Utopolo ktk hiyo sampuli.
Halafu huna elimu ya kutosha kuhusu RESEARCH na maswala ya SAMPLE SELECTION. Siku nyingine usilitumie Tena hilo neno research. Kumbafu utopolo wewe.
ni kweli simba ilikuwa vizuri but sio now mkuu .........haipo on trending kama yangaKwani yanga inafanya vizuri?
Basi kama kigezo ndio hicho basi ingepitishwa rasmi kua simba ndio timu ya wananchi maana ndio timu inayoongoza ukanda huu afrika mashariki na kati, huku ikiwa nafasi ya 13 kwa africa nzima
Kumbe hujui kwa nini Yanga inaitwa timu ya Wananchi, kwa taarifa yako Yanga ina historia kubwa katika uhuru wa hii nchi. Nyinyi makolo ni timu ya waasia waliojitoa Yanga baada ya Yanga kuunga mkono harakati za kudai uhuru.Kwani yanga inafanya vizuri?
Basi kama kigezo ndio hicho basi ingepitishwa rasmi kua simba ndio timu ya wananchi maana ndio timu inayoongoza ukanda huu afrika mashariki na kati, huku ikiwa nafasi ya 13 kwa africa nzima
Wapenda soka kitengo cha burudani ndio walio vote baada ya kuwa motivated na hii kitu, na ndio maana title la sherehe ni kusheheresha, sa sijui watavaa suti zile zile zilizodizainiwa pale tandika?haikuwa kura ya kumchagua rais,hii ilipigwa na wapenda soka tu tena sio wote
😁😁😁 simba ni yanga ...... but yanga sio simbaKumbe hujui kwa nini Yanga inaitwa timu ya Wananchi, kwa taarifa yako Yanga ina historia kubwa katika uhuru wa hii nchi. Nyinyi makolo ni timu ya waasia waliojitoa Yanga baada ya Yanga kuunga mkono harakati za kudai uhuru.
Sim.ba ni Yanga ila Yanga sio Simba
Uhuru wa nchi, yanga inahusika vipi?Kumbe hujui kwa nini Yanga inaitwa timu ya Wananchi, kwa taarifa yako Yanga ina historia kubwa katika uhuru wa hii nchi. Nyinyi makolo ni timu ya waasia waliojitoa Yanga baada ya Yanga kuunga mkono harakati za kudai uhuru.
Simba ni Yanga ila Yanga sio Simba.
Takwimu gani?Kwani nyie si mna takwimu yenu ile ya bwana bwanyenye MO kwanini uteseke na haka la research kadogo tu?
sawa hizo tunajua,lkn bwanyenye ana takwimu zake mwenyewe sijui kazifanya na babra wenyeweTakwimu gani?
Back to back mara 4?
Kuingia robo fainali season 2?
Kuwa namba 13 katika rank ya club bora africa?