Zanzibar: Rais Mwinyi apiga marufuku wananchi kuuziwa nguzo za umeme

Naona soon zenji hata umeme wataacha kulipia..sawa endeleeni kuivuna Tanganyika na kuibebesha mzigo wa mikopo mana sasahivi ni mwendo wa kukopa tu na mtumiaji mkubwa wa mikopo ni zenji wakati hata senti halipi.

Watanganyika sio wajinga.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TANESCO ni hii moja lakini upande wa pili kila kitu kipo chini, why? pesa zetu zinatumika Zanzibar sisi tunakamuliwa
 
Kwanza hata Zanzibar inajitayarisha kuachana na tanesco kwa kujenga vyanzo vyao vya umeme !
 
Itakuwa kama East Africa Community. Ilipovunjika hawakugawana mali kwa kuangalia asilimia ya uchangaji. Bali kilichopo kwako ndio chako.

Zanzibar na Tz bara zikiachana zitagawanaje haya madeni?
 
Tatizo kwangu Sio Kuuziwa bali ni kuuziwa alafu kutokupewa yaani unanunua kitu alafu sio chako....

Ningekuwa nanunua kinakuwa changu hakuna neno yaani ningewapangisha Tanesco alafu nikiona vipi nawaongezea kodi kwenye nguzo yangu.... au siku nikihama wananipa changu (kulingana na value of the day of sale)...

Au mnasemaje TANESCO
 
Tatizo kwangu Sio Kuuziwa bali ni kuuziwa alafu kutokupewa yaani unanunua kitu alafu sio chako....

Ningekuwa nanunua kinakuwa changu hakuna neno yaani ningewapangisha Tanesco alafu nikiona vipi nawaongezea kodi kwenye nguzo yangu.... au siku nikihama wananipa changu (kulingana na value of the day of sale)...

Au mnasemaje TANESCO
Tunaonewa sn
 
Bora uvunjwe haraka sn
Ngumu sana kaka kuuvunja muungano.

And, natamani nijue mawazo ya Maharage Chande ambaye ni mkurugenzi wa TANESCO kwamba 27,000/- ni ndogo sana wakati hapa Zanzibar hatulipii nguzo.


••••••••

Nilimuona majuzi itv alipokuwa anaongea issue ya 27,000 mpaka akavua miwani na kuongea kwa jazba close povu limtoke, he was very serious kidogo amtaje mtu ambaye hayupo.

Baadhi ya wahariri walimcheka ila ndiyo hivyo hawakutaka kumpiga too much course waliitwa kuyajenga.
 
Back
Top Bottom