Tanganyika tulipigwa na kitu kizito kwa bibi tozo na february wake.Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dr Mwinyi amesema kuanzia sasa ,hakuna mwananchi visiwani humo atayeuziwa nguzo ya umeme ambayo kiukweli unauziwa nguzo lakini bado hiyo nguzo inaendelea kuwa mali ya Tanesco.!!View attachment 2110634
Soon utasikia..maji bure umeme bure..chezea ma biliona ya pesa..mgao wa Tanganyika.Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dr Mwinyi amesema kuanzia sasa ,hakuna mwananchi visiwani humo atayeuziwa nguzo ya umeme ambayo kiukweli unauziwa nguzo lakini bado hiyo nguzo inaendelea kuwa mali ya Tanesco.!!View attachment 2110634
Na umeme wanachukulia bara..Zanzibar siyo sehemu ya Tanzania
(a) hakuna tozo
(b) huku nguzo laki 4 kule bure
(c) unit ya umeme kule ni shilingi 20 huku 300
Muundo wa muungano wetu umekaa kienyeji sanaNa umeme wanachukulia bara..
Bibi tozo Mungu anamuona.
Huku bibi ushungi anataka tuuziwe akajenge ZanzibarRais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dr Mwinyi amesema kuanzia sasa ,hakuna mwananchi visiwani humo atayeuziwa nguzo ya umeme ambayo kiukweli unauziwa nguzo lakini bado hiyo nguzo inaendelea kuwa mali ya Tanesco.!!View attachment 2110634
Nguzo zitalipwa na serikali ya baraWashazoea urojo wenzetu. Basi yesheeeee wao wanataka bure kila kitu hakuna tabu.
Tozo zipo mkuuZanzibar siyo sehemu ya Tanzania
(a) hakuna tozo
(b) huku nguzo laki 4 kule bure
(c) unit ya umeme kule ni shilingi 20 huku 300
Kataa sasa utaona, Zanzibar wana mapori?Siyo kweli bwana