Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Baraza la Mitihani Zanzibar, Zubeir Juma Khamis kuanzia leo November 03,2021.
Kisa nini tenaRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Baraza la Mitihani Zanzibar, Zubeir Juma Khamis kuanzia leo November 03,2021.
Namuombea msamaha Andrew Chenge. Yeye ni mtanzania mwenzetu. Amelitumikia hili taifa kwa weledi akiwa waziri wa miundo mbinu pia Mwanasheria mkuu. Mungu mpe Andrew Chenge wepesi, nguvu, amani ya moyo, afya njema na maisha marefu sana.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Baraza la Mitihani Zanzibar, Zubeir Juma Khamis kuanzia leo November 03,2021.
Yaani wasukuma mnataka tena madaraka?? HapanaNamuombea msamaha Andrew Chenge. Yeye ni mtanzania mwenzetu. Amelitumikia hili taifa kwa weledi akiwa waziri wa miundo mbinu pia Mwanasheria mkuu. Mungu mpe Andrew Chenge wepesi, nguvu, amani ya moyo, afya njema na maisha marefu sana.
Twende na Chenge atatuvusha.
Chenge 2025!
May be alikuwa na element za mabadiliko za ACTRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Baraza la Mitihani Zanzibar, Zubeir Juma Khamis kuanzia leo November 03,2021.
Huyu naye ashukuru polisi tu , lakini hana ushawishi wowote kwa wazanzibar , kwanza hata hawamjuiRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Baraza la Mitihani Zanzibar, Zubeir Juma Khamis kuanzia leo November 03,2021.
Gavana wa Zanzibar anaupiga mwingi.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Baraza la Mitihani Zanzibar, Zubeir Juma Khamis kuanzia leo November 03,2021.