mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi leo Jumatatu, ametengua uteuzi wa Katibu wake, Suleiman Ahmed Saleh na kusema atapangiwa kazi nyingine. Rais Mwinyi ametengua uteuzi huo zikiwa zimepita siku 37 baada kumteua na kumwapisha 7 Novemba 2020.
Pia soma > Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amteua Suleiman Ahmed Salum kuwa Katibu wa Rais
Picha: Rais Mwinyi akimuapisha Suleiman Ahmed Saleh kuwa Katibu wa Rais
Pia soma > Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amteua Suleiman Ahmed Salum kuwa Katibu wa Rais
Picha: Rais Mwinyi akimuapisha Suleiman Ahmed Saleh kuwa Katibu wa Rais