Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,874
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Kanali Azana Hassan Msingiri kuwa Mkuu wa Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo(KMKM). Kanali Makame Abdallah Daima ameteuliwa kuwa Kamishna Kikosi cha Jeshi la Kujenga Uchumi(JKU)
Kanali Rashid Mzee Abdallah ameteuliwa kuwa Kamishna Kikosi cha Zimamoto na Uokozi. Luteni Kanali Khamis Bakari Khamis ameteuliwa kuwa Kamishna wa Vyuo vya Mafunzo
Luteni Kanali Burhani Zuberi Nassoro kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Uratibu na Udhibiti na Dawa za kulevya. ACP Ahmed Hamis Makarani kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi(ZAECA)
===
Kanali Rashid Mzee Abdallah ameteuliwa kuwa Kamishna Kikosi cha Zimamoto na Uokozi. Luteni Kanali Khamis Bakari Khamis ameteuliwa kuwa Kamishna wa Vyuo vya Mafunzo
Luteni Kanali Burhani Zuberi Nassoro kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Uratibu na Udhibiti na Dawa za kulevya. ACP Ahmed Hamis Makarani kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi(ZAECA)
===