Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,837
- 93,610
Hiyo siyo kiongozi bhana, taja mwakilishi au Waziri ambaye ni mkristo
Hiyo siyo kiongozi bhana, taja mwakilishi au Waziri ambaye ni mkristo
Tafsiri ya 'kafiri' ni mtu asiyeijua dini. Mtu yeyote wa dini yeyote kama hana uelewa wa dini yeyote, basi huyo ni kafiri.I
Mmmh ukristo sio uislam aisee and vice versa. Kila mtu awe na kwao. Mtu anakuita kafir halafu useme dini zipo sawa?? NOPE
Hebu jifunze kutofautisha matumizi ya "r" na "l" kwanzaUnamjua Charles Hilal?
Haya.Hebu jifunze kutofautisha matumizi ya "r" na "l" kwanza