Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itv ya saa ngapi mbona mi naangalia itv sijaona?
Itv ya saa ngapi mbona mi naangalia itv sijaona?
Hawa Uamsho na Chadema Hakuna tofautiUamsho tena?
Hiyo ya jina imepatikana Radio one aliko sikika akitoa taarifa toka Zanzibar.Labda kama ni maandishi mybe i wasnt paying attention.ila kwasasa sioni maandishi na tamthilia a woman of steel ndo iko hewani.
Na ninajua kama ni maandishi hawaweki jina la repota.sasa mtu anajuaje kuwa ni farid ndo karipoti.?
Itv ya saa ngapi mbona mi naangalia itv sijaona?
Ngoja tusubiri taarifa zaidi tusikimbilie kwenye judgement moja kwa moja,hawa waseja wana matatizo ya kutembea na wake za watu kwa kificho,inaweza pia kuwa sababu si lazima kila tukio kulihusisha na chuki za kidini ama kisiasa,nadhani bado tuna kumbukumbu ya kilichomtokea kamanda wa mateo pale mwanza ambako uamsho hawako