Zanzibar ni nchi ya kidini?

mtzmweusi

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
8,593
8,876
Wakuu heshima yenu awali ya yote ni mshukuru sana mwenyezi Mungu kwa kuniweka hai mpaka leo sifa na heshima zimuendee yeye pekee, baada ya kusema hayo ningependa kujua kama sehemu hii ya jamhuri tukufu ya Tanzania inaongozwa au unajiendesha kwa misingi ya dini .

Nimeuliza hivi mana kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia jinsi shughuli za serikali ya mapinduzi na hata taasisi zake zinavojiendesha mfano ukiangalia ZBC na ZBC2 kuna vipindi vya dini ya upande mmoja tu na airtime yake ni ya kutosha je hao wakristo hawaruhusiwi kupeleka vipindi au imekaaje? Mnyazi Mungu awabarikini nyote
 
Mimi sio mzanzibari siwezi kuwajibia sababu Zanzibar ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya zanzibar ya 2010 nisije ingilia mambo ya ndani ya nchi ya watu nikavunja katiba ya Muungano ambayo maswala ya Dini SI MAMBO YA muungno tuliyokubaliana kama ilivyo kwenye Uchaguzi wa Raisi wa Zanzibar ambao si jambo la muungano.

Wazanzibari jibuni hilo swali linahusu nchi yenu.
 
Wakuu heshima yenu awali ya yote ni mshukuru sana mwenyezi Mungu kwa kuniweka hai mpaka leo sifa na heshima zimuendee yeye pekee, baada ya kusema hayo ningependa kujua kama sehemu hii ya jamhuri tukufu ya Tanzania inaongozwa au unajiendesha kwa misingi ya dini nimeuliza hivi mana kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia jinsi shughuli za serikali ya mapinduzi na hata taasisi zake zinavojiendesha mfano ukiangalia zbc na zbc2 kuna vipindi vya dini ya upande mmoja tu na airtime yake ni ya kutosha je hao wakristo hawaruhusiwi kupeleka vipindi au imekaaje? Mnyazi Mungu awabarikini nyote
Iko wazi hiyooo hawawez kukubali Wadini Sana hao
 
Wakuu heshima yenu awali ya yote ni mshukuru sana mwenyezi Mungu kwa kuniweka hai mpaka leo sifa na heshima zimuendee yeye pekee, baada ya kusema hayo ningependa kujua kama sehemu hii ya jamhuri tukufu ya Tanzania inaongozwa au unajiendesha kwa misingi ya dini nimeuliza hivi mana kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia jinsi shughuli za serikali ya mapinduzi na hata taasisi zake zinavojiendesha mfano ukiangalia zbc na zbc2 kuna vipindi vya dini ya upande mmoja tu na airtime yake ni ya kutosha je hao wakristo hawaruhusiwi kupeleka vipindi au imekaaje? Mnyazi Mungu awabarikini nyote
Acha wapumue.. mambo ya siasa tu yamewafika katika koo

Unataka kuingiza mambo ya udini ili iweje..!?
 
Waislam wakiwa asilimia 30 kwenye nchi yoyote lazima wapige kelele, itakuwa Zanzibar ya Waislam 99%??, hata hivyo sioni tatizo Zanzibar kuigeuza kuwa nchi ya kidini, watajuana wenyewe
 
Wakuu heshima yenu awali ya yote ni mshukuru sana mwenyezi Mungu kwa kuniweka hai mpaka leo sifa na heshima zimuendee yeye pekee, baada ya kusema hayo ningependa kujua kama sehemu hii ya jamhuri tukufu ya Tanzania inaongozwa au unajiendesha kwa misingi ya dini nimeuliza hivi mana kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia jinsi shughuli za serikali ya mapinduzi na hata taasisi zake zinavojiendesha mfano ukiangalia zbc na zbc2 kuna vipindi vya dini ya upande mmoja tu na airtime yake ni ya kutosha je hao wakristo hawaruhusiwi kupeleka vipindi au imekaaje? Mnyazi Mungu awabarikini nyote
Makanisa kama Anglican, Lutheran na Catholic wamekuwa wakirusha ibada zilizorekodiwa katika ZBC....
Jaribu kuwa karibu na Tv yako siku ya Jumapili wakati wa jioni. .....
 
Waislam wakiwa asilimia 30 kwenye nchi yoyote lazima wapige kelele, itakuwa Zanzibar ya Waislam 99%??, hata hivyo sioni tatizo Zanzibar kuigeuza kuwa nchi ya kidini, watajuana wenyewe
Hivi nyinyi kwanini neno haki hamtaki kulitumia, kazi kuwalaumu waislamu tu..ebu tendeni haki kama ntaona waislamu wanapiga kelele kama ulivyodai
 
Mimi sio mzanzibari siwezi kuwajibia sababu Zanzibar ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya zanzibar ya 2010 nisije ingilia mambo ya ndani ya nchi ya watu nikavunja katiba ya Muungano ambayo maswala ya Dini SI MAMBO YA muungno tuliyokubaliana kama ilivyo kwenye Uchaguzi wa Raisi wa Zanzibar ambao si jambo la muungano.

Wazanzibari jibuni hilo swali linahusu nchi yenu.

Hahaha duuuh ww jamaa umefunguka vizuri.yaaani umemaliza kila kitu
 
Wewe wajifanya unaakili saaaaana kupita watu lakini tumegundua mtu yoyote anae jifanya anakili kupita watu kwanza Hua hataki ushauri wa mtu yoyote halafu huwa akishirikiana na mtu huwa mara zote ni kumdhulumu tu
 
Unauliza kutaka kujua au ushabiki tu na udini wako.?wako zaidi ya asilimia tisini we ulitaka waweke kwaya?
 
Wakuu heshima yenu awali ya yote ni mshukuru sana mwenyezi Mungu kwa kuniweka hai mpaka leo sifa na heshima zimuendee yeye pekee, baada ya kusema hayo ningependa kujua kama sehemu hii ya jamhuri tukufu ya Tanzania inaongozwa au unajiendesha kwa misingi ya dini .

Nimeuliza hivi mana kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia jinsi shughuli za serikali ya mapinduzi na hata taasisi zake zinavojiendesha mfano ukiangalia ZBC na ZBC2 kuna vipindi vya dini ya upande mmoja tu na airtime yake ni ya kutosha je hao wakristo hawaruhusiwi kupeleka vipindi au imekaaje? Mnyazi Mungu awabarikini nyote

yaani hata sijui nianzie wapi kukusaidia ewe MJA ...hivi unafkiri uislamu unatafsiriwa kwa kile unacho kiona kwenye TV?matangazo kwenye TV na kila unacho kiona ni sehemu ndogo zaidi ya punje ya mchanga kulinganisha na mambo ya msingi ya dini hiii....Hlafu unaonekana unaogopa kutaja neno uislamu why...Naomba nikupe faida ya mambo ya msingi kwenye ya uislamu ili ukiyaona hayo yanafanyika basi ujue hio sehem/nchi ni ya waislamu ..1.Nchi iongozwe na msahafu kama katiba yake,2.Allah (sw) & Muhammad (saw) wawe ndio viongozi wakuu wa sehemu na wengine wabaki kuwa wafuasi na sio watunga sheria(kwa sheria zipo ndani ya msahafu) 3. Kuswali swala ya faradhi iwe ni amri na sio hiari,4.Zitumike adhabu(penulty) ambazo allah ameshaziweka kwa wakosaji wote wa makosa ya aina zote(hakuna kujitungia sheria za dhabu)..5.Dini isitenganishwe na siasa na siasa isitenganishwe na dni,kwani kwenye uislamu hivyo vitu haviachani na havija wahi kuachana,,,
SASA NAKUULIZA SWALI,JE HAYO MAMBO 5 UMEYAONA HUKO ZNZ?
Kama yapo basi ZNZ ni nchi ya kidini,kama hayapo basi sio nchi ya kidini(kiislamu)
Hayo unayo yaona huko ZBC 1&2 ni kwa sababu majority ya WA ZNZ ni waislamu lkn sio nchi ya kiislamu na haitokuwa nchi ya kiislamu...WW peleka tangazo lko,uki kidhi vigezo VYAO utarushiwa tanga lako///
 
Back
Top Bottom