Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Wakuu naleta mada ya uchokozi wa mawazo.
Siasa za mwaka huu 2010 zinaenda kwa kasi ya ajabu.Matukio ya kura ya maoni Zanzibar yanaashiria kuvuruga muunganp na kuleta umoja huku Bara ikiwa njia ya kujihami.
Siyo siri kuwa mwelekeo wa Zanzibar ni hatimaye kujiondoa kabisa katika muungano na Tanganyika.
Kura ya maoni inathibitisha azma ya wa Zanzibari kujitenga.
Sasa je kwa sisi wabara kuna haja gani kuwa na makamu wa rais ambaye hatimaye atakuwa mtu wa nchi ya jirani?
Si vema Dr Bilali akarudi kwao?
Siasa za mwaka huu 2010 zinaenda kwa kasi ya ajabu.Matukio ya kura ya maoni Zanzibar yanaashiria kuvuruga muunganp na kuleta umoja huku Bara ikiwa njia ya kujihami.
Siyo siri kuwa mwelekeo wa Zanzibar ni hatimaye kujiondoa kabisa katika muungano na Tanganyika.
Kura ya maoni inathibitisha azma ya wa Zanzibari kujitenga.
Sasa je kwa sisi wabara kuna haja gani kuwa na makamu wa rais ambaye hatimaye atakuwa mtu wa nchi ya jirani?
Si vema Dr Bilali akarudi kwao?