Pharaoh
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 843
- 157
Wakuu tubadilishane maoni.
baada ya nchi zilizounda USA kuungana zilibakia kuwa Majimbo.
Tanganyika na Zanzibar zilikuwa Nchi mbili Huru ziliungana na kujubalika kuwa Jamhuri Moja ya Tanzania
Je? Leo ukiacha mbali tamaa, chokochoko hizi pande zilizoanzisha Republic of Tanzania ni nini?
baada ya nchi zilizounda USA kuungana zilibakia kuwa Majimbo.
Tanganyika na Zanzibar zilikuwa Nchi mbili Huru ziliungana na kujubalika kuwa Jamhuri Moja ya Tanzania
Je? Leo ukiacha mbali tamaa, chokochoko hizi pande zilizoanzisha Republic of Tanzania ni nini?