johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,853
- 141,772
Kiukweli Zanzibar ina watu wachache ukilinganisha na Tanganyika lakini watu wake wamejaa weledi na tamaa ya mafanikio.
Hata Fifa wangeiruhusu Zanzibar kujitegemea katika soka wangekuwa washacheza fainali za kombe la dunia.
Hongereni Zanzibar kwa kututoa kimasomaso katika kila kona hata kwenye Tuzo za kimataifa.
Sasa tunaisubiri ya Mo Ibrahim!
Maendeleo hayana vyama!
Hata Fifa wangeiruhusu Zanzibar kujitegemea katika soka wangekuwa washacheza fainali za kombe la dunia.
Hongereni Zanzibar kwa kututoa kimasomaso katika kila kona hata kwenye Tuzo za kimataifa.
Sasa tunaisubiri ya Mo Ibrahim!
Maendeleo hayana vyama!