Vyama vyote na wagombea wote wa Urais katika uchaguzi wa mwaka huu wanatoka bara. Nafasi tuliyopewa kwa upande wa Z'bar ni ‘mugombea mwenza’.
Je, ni kweli kwamba Wazanzibari hatustahili kushika nafasi ya urais wa Tanzania? Haya ndo makosa ya kikatiba. Z’bar tuna nafasi ya rais wetu na hakuna mtu wa bara anaweza kushika nafasi hiyo.
Hata hivyo mgombea urais wa Z’bar, tunajua anavyopatikana huko bara. Lakini pia kuna nafasi ya Waziri Mkuu wa Serikali ya muungano ambayo miaka yote ni ya mtu wa bara.
Baada ya Mwinyi kuwa rais wa muungano, imeshindikana kabisa kuwa na mgombea urais toka Z’bar. Hili siyo tatizo la CCM ni tatizo la Tanganyika na Z'bar maana hata vyama vya upinzani sioni chama kilichomuweka M-Z’bari kugombea urais wa muungano. Kwa ujumla nafasi ya Z’bar ktk muungano inachezewa.
Je, ni kweli kwamba Wazanzibari hatustahili kushika nafasi ya urais wa Tanzania? Haya ndo makosa ya kikatiba. Z’bar tuna nafasi ya rais wetu na hakuna mtu wa bara anaweza kushika nafasi hiyo.
Hata hivyo mgombea urais wa Z’bar, tunajua anavyopatikana huko bara. Lakini pia kuna nafasi ya Waziri Mkuu wa Serikali ya muungano ambayo miaka yote ni ya mtu wa bara.
Baada ya Mwinyi kuwa rais wa muungano, imeshindikana kabisa kuwa na mgombea urais toka Z’bar. Hili siyo tatizo la CCM ni tatizo la Tanganyika na Z'bar maana hata vyama vya upinzani sioni chama kilichomuweka M-Z’bari kugombea urais wa muungano. Kwa ujumla nafasi ya Z’bar ktk muungano inachezewa.