shamzugi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2021
- 493
- 992
- Thread starter
- #41
Nilimpenda, sema mwenyewe alivyorudi shule na baada ya kumaliza akaenda chuo ndo yakatokea yakutokea hatukutana tena, ila namkumbuka mno, alikua mtamu hakika, hata huyo mwana kama anaye, najua atakua anafaidi utamu wallahHukumpenda? Mbona unamwongelea kama wa kutumia tu?