Mcheza Viduku
JF-Expert Member
- Jun 24, 2020
- 1,049
- 2,535
Nasikia eti ukionekana unapiga picha eneo la mkutano mabaunsa wa CDM wanaweza wakakuua, sasa sijui hawataki tuone/tujue yanayojiri huko
Mkuu,Kuna Mtu atakuwa Rais kwa Kusindikizwa na SILIPO, SSIT na ZTWJ lakini siyo kwa 'Matakwa' rasmi ya wana 'Zenji' tena hasa hasa wale wa Pemba.
tuwekee lissu akiwa kibanda maitiJionee mwenyewe
Endelea kutufuatilia hapa hapa jftuwekee lissu akiwa kibanda maiti
Kwani huyo ni Lisu?View attachment 1561807View attachment 1561808
Hii picha ya leo imemfanya robertison wa Amsterdam aache kumtumia lissu pesa ya mafuta kupaa angani
Ni misukule na vichaa tu ndio hawataichagua CCMHakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuichagua tena hii Serikali ya WATEKA NYARA, mamia kwa maelfu wanakusanyika huko kupata BURUDANI YA WASANII tu. Kusitishwa kwa matamasha kwaajili ya COVID-19 kuliwaacha watu wengi katika lindi la upweke.
Kwani huyo niliemjibu ana mkata na mungu au yeye ni secretary wake Hadi aseme mungu ambariki yuda na kizazi Cha shetani?Kwa nini unamsemea Mungu kwani wewe una mkataba nae? au wewe ni secretary wake?
Unafikiri Mbezi beach watu wanaishi kundi kwenye nyumba moja??View attachment 1561807View attachment 1561808
Hii picha ya leo imemfanya robertison wa Amsterdam aache kumtumia lissu pesa ya mafuta kupaa angani
Nyomi la Mwanza leo umeliona , Magufuli atashinda kwa kishindo kwa kuiba kura za kutoshaHuu mtiti wa kampeni za Lissu, kuna mtu analala usingizi wa mang'amu ng'amu. .. kwa sisi watu wa soka kosa hili la kiufundi huwa tunaita " a defender caught out of position"
Ukipitia Mabango ya Magufuli utaona yameandikaa Chagua Magufuli, ni nadra sana kukuta yameandikwa Chagua ccmHuko CCM kila mtu ni KAMBALE adabu hakuna kabisa Mkuu, ndio sababu unaona vijana kama akina Bashite wanapigana miti tu makamu wao.
CCM haipo tangu 1995 haipo kwa sababu watu walikuwa chama alichokuwepo Maalim seif nacho ni CUF na sio CDM. Kama unaweka CDM na ACT sasa ivi, Lissu anaambulia kura za wapambe tu.Subiria moto wa Tundu Lissu alafu urudi baadae....
Ccm haipo zenji tangu 2000
Zanzibar hakuna nyomi ndio maana hawaoneshi, nyomi lipo Mwanza ambapo wamejaa watoto wa shule za msingi wa kutoshaPicha wakuu
Bado iko vilevile Kama ambavyo hatuwezi kuacha ujenzi wa CIA (Chato International Airport).Hivi hii ajenda ya risasi bado ipo,? mara alimiminiwsma risasi 16, mara 38 , mara 64 hata hamueleweki!! hakuna kura za huruma hapa!!
Ma baunsa wa CHADEMA Leo walikuwa wakikimbiza hata watu wenye simu zao ukijifanya kupiga picha wanajua mbio wanakukimbiza kama mwizi usipige picha wakaaibikaZanzibar hakuna nyomi ndio maana hawaoneshi, nyomi lipo Mwanza ambapo wamejaa watoto wa shule za msingi wa kutosha
Cccm oyeeeer
Yeye amemuomba tu Mungu, kukubali na kutokukubali maombi si juu yetu. Wala hatuwezi kujuwa ni nani kati yetu atapokelewa maombi. Mungu ni wa wote huwezi kumuamulia amkubalie au amkatalie yupi.Kwani huyo niliemjibu ana mkata na mungu au yeye ni secretary wake Hadi aseme mungu ambariki yuda na kizazi Cha shetani?
Kiwango cha uelewa/ufahamu wako juu ya uraia,katiba na sheria zake, kinatia shaka sana.Lissu mzalendo anayetafutiwa urais na wazungu!! we uliona wapi mtu mwenye uraia wa ubelgiji anang'ang'ania kuwa Rais wa Tz? nani kampa hela? aliyemlipa anategemea kuvuna nini? kwa nini? halafu unasema Lissu mzalendo!! bora hata Hashim Rungwe! we Mtu anakuja kudai urais kwa maelekezo na ulinzi wq Robert Amstardam?? Hao wazungu wanataka nini? Lissu sio, hajawahi, hatakuja kuwa mzalendo, nani alisema tusiwadai wazungu gawio eti tutashitakiwa?? Lissu ni kichaa. Over.