secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,609
Membe is nowhere to be seen...!?Tupeni updates na kampeni za Membe
Membe is nowhere to be seen...!?Tupeni updates na kampeni za Membe
Hivi kwanini mgombea wa CCM hafahamu kiingereza?Achaneni na kibandamaiti angalieni TV kinachoendelea uwanja wa kirumba mwanza mjini .Kura tu za mwanza mjini zinatosha kumuweka raisi madarakani angalieni umati uliopo
Bila kusahau kumuona mondi bureUsafiri wa bure wa kuingia town nani asingetaka kwenda???
Acha ukuda wewe ni mke wao hadi ujue hayo?Ndio kaondoka lakini yeye na Lisu wana urafiki binafsi alimtuma akamchukulie hela Kenya
Kwanini CCM ni chama cha WEZI?Ndio kaondoka lakini yeye na Lisu wana urafiki binafsi alimtuma akamchukulie hela Kenya
Achaneni na kibandamaiti angalieni TV kinachoendelea uwanja wa kirumba mwanza mjini .Kura tu za mwanza mjini zinatosha kumuweka raisi madarakani angalieni umati uliopo
Huyu jamaa anaweza kubadili sura ya nchi....!!?Azuiwe haraka! Anakwenda "kuchomoa betri" kuhusu Muungano. Leo ndio Magu atamjua Lisu ni nani!
Kaijage lazima aangushiwe jumba bovu baada ya uchaguzi, kwanini alimpa fomu na kisha kumpitisha!
Labda nikupe taarifa tu, hakuna chama cha upinzani chochote Zanzibar kinachoweza kukusanya umati zaidi ya chama alichokuwepo Maalim Seif na CCM tu. Na kama hujui, tangu zamani CDM Zanzibar haikuwa na wafuasi kama ilivyo bara, CDM inaoenekana ni kama vyama visivyokuwa na ishu Zanzibar. Wazanzibari wao ni Maalim Seif na sio Lissu wala yoyote kutoka chadema. Waulize ACT.Tatizo lenu mnakurupushwa hata siasa hamzijui zanzibar CDM haijamsimamisha mgombea urais kumpisha Maalim Seif hata leo kwenye mkutano anaweza kuwapo upo nyonyo stay tune mambo mazuri yanakuja mtaelewa tu
Umesikika mkuuMkuu Erythrocyte hongera sana kwa kujitoa kwako kutuhabarisha hapa JF kuhusukampeni za Rais wetu Mtarajiwa Tundu Lissu. Ila tukubali ukweli huu kuwa Kurugenzi ya Mawasiliano ya CDM haiko serious na jambo hili la kupashana HABARI yanayojiri kwenye mikutano... wadau kadhaa wametoa malalamiko yao hapa lakini wahusika wameuchuna kama vile hakuna kinachoendelea....
Mlimpa ili ajiunge CCM yeye kaenda ACT.Kama tumemlipa serikali ya CCM tungemkamata?
Hivi kwanini mgombea wa CCM hafahamu kiingereza?
Hivi kwanini mgombea wa CCM hafahamu kiingereza?
Upo ofisi za Lumumba...!?Hapa ofisini ni jambajamba tu comrade... watu hatutizamani usoni!
Kosa la kwanza la kimkakati ndio maana wameamua kumuwinda🤔🤔Mlimpa ili ajiunge CCM yeye kaenda ACT.
Magufuli anakijua kiingereza na kukiongea vizuri kuwazidi marais wote wa taifa hili waliomtangulia.Hivi kwanini mgombea wa CCM hafahamu kiingereza?
Aisee upo dunia ya wapi wewe? Kubenea ni mgombea ubunge kupitia ACT wazalendo na ndie alimuwekea pingamizi mgombea wa Chadema wa Jimbo hilo Boniphace Jacob baada ya kupewa ushauri wa kusheria kutoka kwa rafiki yake Lisu na akamtupa nje
Unawazungumzia maraisi wa TFF?Magufuli anakijua kiingereza na kukiongea vizuri kuwazidi marais wote wa taifa hili waliomtangulia
Kwa sababu ana phd🤣🤣Hivi kwanini mgombea wa CCM hafahamu kiingereza?
KikweteUnawazungumzia maraisi wa TFF?