Zanzibar 2020 Zanzibar: Mgombea Urais wa Tanzania, Tundu Lissu (CHADEMA), afanya Mkutano Uwanja wa Kibandamaiti

Wale walioaminshwa na jamaa mmnoja wa Kongwa kwamba NCCR ndicho chama kitakachokuwa kikuu cha upinzani - wakatukana kambi sasa wanajuta... Wabunge wamama wazima wakajidhalilisha eti wamebakwa mfululizo miaka 4 wakiwa kimya wanavumilia tu wakingoja maushahidi..... ha ha ha

Na pia kuna mgombea mstaafu very senior anaumbuka vibaya mno kule Rombo - wananchi hawamtaki kata kata....

Yaani ile ya Mwanapunda aliyembeba Mesiyah Yesu wakati anaingia Yerusalem inajirudia..... alipoamua kurudi mwenyewe kwa madaha akidhani astapokelewa kifalme - maweeee!!
 
Lisu na kubenea ni marafiki wakubwa Lisu Ndie alimpa ushauri wa kisheria kubenea jinsi ya kumwekea pingamizi mgombea ubunge wa Chadema ubungo Boniphace Jacob
Unajichanganya sana we malaya. Kubenea hayupo ubungo na hagombei ubungo na aliyeweka pingamizi ubungo si Kubenea!!

Mmepanic kama Kamongo wenu alivyopanic!!

Mmetumia mamilioni kuandaa mkutano Mwanza eti kujibu mafuriko ya Lissu HAHAHAHAHAHAHA!!
 
Unajichanganya sana we malaya. Kubenea hayupo ubungo na hagombei ubungo na aliyeweka pingamizi ubungo si Kubenea!!

Mmepanic kama Kamongo wenu alivyopanic!!

Mmetumia mamilioni kuandaa mkutano Mwanza eti kujibu mafuriko ya Lissu HAHAHAHAHAHAHA!!
Aisee upo dunia ya wapi wewe? Kubenea ni mgombea ubunge kupitia ACT wazalendo na ndie alimuwekea pingamizi mgombea wa Chadema wa Jimbo hilo Boniphace Jacob baada ya kupewa ushauri wa kusheria kutoka kwa rafiki yake Lisu na akamtupa nje
 
Nilikuwa nadhani kuwa Uchaguzi Mkuu huu ujao wa Oktoba 28, 2020 utakuwa mrahisi kwa Mgombea fulani na Chama fulani ila sasa naogopa mno.
Kwa tulivyokuwa tunaaminishwa, hata Mimi walinizoa kwenye mkumbo. Lakini kadri siku zinavyokwenda na yule wa upande wa pili anapoongea mapungufu na wanapanic naona ngoma ni nzito. Hapa ndo naiona thamani ya kioo.
 
Nilikuwa nadhani kuwa Uchaguzi Mkuu huu ujao wa Oktoba 28, 2020 utakuwa mrahisi kwa Mgombea fulani na Chama fulani ila sasa naogopa mno.
Nashukuru mkuu Leo umetambua hili mpaka wewe mkuu umekubali basi atakaekuwa anabishana na ukweli wako anatakiwa kupimwa akili
 
H
Hako haumati km malori hakawezi kuzidi mafuriko ya Tundu Lissu.....

Hiyo ni fiesta wamejaa watoto wa shule tena za msingi kwani hao ndio wapiga kura?
Ndo upumbavu wao wapinzani wakijaza unaaambiwa hawapigi kura hao
 
Uchaguzi huu ulikuwa mwepesi sana kwa Yesu mtu, tatizo lugha za vitisho anazotumia wakati wa kampeni zinampunguzia credibility ajithamini kwa hilo ingawa bado nafasi ya yeye kuwa rais ni kubwa mno. Ila kwa Zanzibar kazi ipo kwa Hussein Mwinyi.
Zanzibari CCM hairudi, na ikirudi kwa mabavu hapakaliki, mwenye macho haambiwi ona

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom