Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,746
- 11,877
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka Zanzibar. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
ORODHA RASMI YA WAGOMBEA WANAOWANIA URAIS KWA MUJIBU WA ZEC
ORODHA RASMI YA WAGOMBEA WANAOWANIA UBUNGE KWA MUJIBU WA ZEC
MKOA WA KASKAZINI UNGUJA - MAJIMBO 8
Wilaya ya Kaskazini A
Chaani -
Kijini -
Mkwajuni -
Tumbatu -
Nungwi -
Wilaya ya Kaskazini B
Donge -
Mahonda -
Bumbwini -
MKOA WA KUSINI UNGUJA - MAJIMBO 5
Wilaya ya Kati
Chwaka
Uzini
Tunguu
Wilaya ya Kusini
Makunduchi
Paje
MKOA WA MJINI MAGHARIBI - MAJIMBO 19
Wilaya ya Magharibi A
Mtoni -
Bububu -
Mfenesini -
Welezo -
Mwera -
Wilaya ya Magharibi B
Dimani -
Fuoni -
Kiembesamaki -
Mwanakwerekwe -
Pangawe -
Wilaya ya Mjini
Kwahani
Amani
Magomeni
Shaurimoyo
Malindi
Kikwajuni
Chumbuni
Jang'ombe
Mpendae
MKOA WA KASKAZINI PEMBA - MAJIMBO 9
Wilaya ya Micheweni
Micheweni -
Tumbe -
Wingwi -
Konde -
Wilaya ya Wete
Mtambwe -
Pandani -
Gando -
Kojani -
Wete -
MKOA WA KUSINI PEMBA - MAJIMBO 9
Wilaya ya Chake Chake
Chake Chake -
Wawi -
Ziwani -
Chonga -
Ole -
Wilaya ya Mkoani
Mkoani -
Mtambile -
Kiwani -
Chambani -
UPDATE
------
UPDATE
SAMIA SULUHU ATIMIZA HAKI YA KIKATIBA KWA KUPIGA KURA
Mama Samia amepiga kura katika Kituo cha SOS Mombasa Zanzibar. Amewasihi Watu waliopo nyumbani na wanahofia usalama wao wajitokeze kupiga kura kwasababu kila kitu kipo vizuri na zoezi linakwenda haraka.
UPDATE
DKT. SHEIN APIGA KURA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein amepiga kura katika Kituo cha Kupigia Kura cha Skuli ya Bungi Wilaya ya Kati Unguja. Dkt. Shein ambaye ameongoza Zanzibar tangu mwaka 2010 anamaliza muda wake
UPDATE
SALUM MWALIMU APIGA KURA
Mgombea Mwenza wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chadema, Mhe. Salum Mwalimu akishiriki zoezi la Upigaji wa kura katika Kituo cha Kisiwandui chumba namba 3 kilichopo katika Jimbo la Kikwajuni Mjini Zanzibar.
UPDATE
HAMAD RASHID APIGA KURA
Mgombea Urais Zanzibar kupitia chama cha ADC, Hamad Rashid akipiga kura katika kituo cha Shule ya Fidel Castro kisiwani Pemba ambapo amesema zoezi hilo limeenda vizuri
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka Zanzibar. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
ORODHA RASMI YA WAGOMBEA WANAOWANIA URAIS KWA MUJIBU WA ZEC
ORODHA RASMI YA WAGOMBEA WANAOWANIA UBUNGE KWA MUJIBU WA ZEC
MKOA WA KASKAZINI UNGUJA - MAJIMBO 8
Wilaya ya Kaskazini A
Chaani -
Kijini -
Mkwajuni -
Tumbatu -
Nungwi -
Wilaya ya Kaskazini B
Donge -
Mahonda -
Bumbwini -
MKOA WA KUSINI UNGUJA - MAJIMBO 5
Wilaya ya Kati
Chwaka
Uzini
Tunguu
Wilaya ya Kusini
Makunduchi
Paje
MKOA WA MJINI MAGHARIBI - MAJIMBO 19
Wilaya ya Magharibi A
Mtoni -
Bububu -
Mfenesini -
Welezo -
Mwera -
Wilaya ya Magharibi B
Dimani -
Fuoni -
Kiembesamaki -
Mwanakwerekwe -
Pangawe -
Wilaya ya Mjini
Kwahani
Amani
Magomeni
Shaurimoyo
Malindi
Kikwajuni
Chumbuni
Jang'ombe
Mpendae
MKOA WA KASKAZINI PEMBA - MAJIMBO 9
Wilaya ya Micheweni
Micheweni -
Tumbe -
Wingwi -
Konde -
Wilaya ya Wete
Mtambwe -
Pandani -
Gando -
Kojani -
Wete -
MKOA WA KUSINI PEMBA - MAJIMBO 9
Wilaya ya Chake Chake
Chake Chake -
Wawi -
Ziwani -
Chonga -
Ole -
Wilaya ya Mkoani
Mkoani -
Mtambile -
Kiwani -
Chambani -
UPDATE
MAALIM SEIF APIGA KURA
Amefika ktk Kituo cha Garagara, Jimbo la Mwera na kupiga kura mapema leo. Asema ametiwa moyo na watu wengi kujitokeza kupigia kura ila Wananchi wengi wana malalamiko ya kutokuona majina yao kwenye vituo------
DKT. HUSSEIN MWINYI APIGA KURA
Mgombea Urais Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi akipiga kura. Ahimiza wananchi Zanzibar kujitokeza kupiga kura
Mgombea Urais Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi akipiga kura. Ahimiza wananchi Zanzibar kujitokeza kupiga kura
UPDATE
SAMIA SULUHU ATIMIZA HAKI YA KIKATIBA KWA KUPIGA KURA
Mama Samia amepiga kura katika Kituo cha SOS Mombasa Zanzibar. Amewasihi Watu waliopo nyumbani na wanahofia usalama wao wajitokeze kupiga kura kwasababu kila kitu kipo vizuri na zoezi linakwenda haraka.
UPDATE
DKT. SHEIN APIGA KURA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein amepiga kura katika Kituo cha Kupigia Kura cha Skuli ya Bungi Wilaya ya Kati Unguja. Dkt. Shein ambaye ameongoza Zanzibar tangu mwaka 2010 anamaliza muda wake
SALUM MWALIMU APIGA KURA
Mgombea Mwenza wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chadema, Mhe. Salum Mwalimu akishiriki zoezi la Upigaji wa kura katika Kituo cha Kisiwandui chumba namba 3 kilichopo katika Jimbo la Kikwajuni Mjini Zanzibar.
UPDATE
HAMAD RASHID APIGA KURA
Mgombea Urais Zanzibar kupitia chama cha ADC, Hamad Rashid akipiga kura katika kituo cha Shule ya Fidel Castro kisiwani Pemba ambapo amesema zoezi hilo limeenda vizuri