MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,502
- 29,547
Toa Upumbavu wakoAibu matokeo ya jana ya uchaguzi wa mapema Zanzibar,askari kibao wamepigia ACT wazalendo,wanachofanya Zec ni kuziharibu kwa kuongeza michoro.
na hapa Tanganyika wazalendo wengi wamekasirika kwa kuonekana wanaothaminiwa ni walinzi wa kigeni kutoka nchi jirani ambao ndio hutoa ulinzi kwa misafara ya viongozi wa CCM.
Kutwa Kudanganya Watu tu