wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Kwa hiyo wee kwa akili yako corona tuu ndio imemuuaKiki ee? Haya sasa njoo hapa. Tatizo ninyi mbwa mkiambiwa ukweli huwa hamtaki
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wee kwa akili yako corona tuu ndio imemuuaKiki ee? Haya sasa njoo hapa. Tatizo ninyi mbwa mkiambiwa ukweli huwa hamtaki
Kumbuka huku mwisho nimesema "naomba niishie hapo tafadhali".
Isipomfyatua huyo mzee. Basi watanzania tuachane na hofu.
Huyu ni kama kipimo.
Hee sasa imbombo ngafuuuIsipomfyatua huyo mzee. Basi watanzania tuachane na hofu.
Huyu ni kama kipimo.
you already knowKasema mtangaze? Kwani Corona ipo Tanzania.
ulinzi eti haya nenda kalinde tenaACT wamepeleka Corona feki serikali ya umoja wa kitaifa ili kuchafua Zanzibar makamu wa raisi mwenye ulinzi kila kona Corona aitoe wapi?