UPO SAHII KABISA, KWA AFYA YA MUUNGANO WETU INABIDI MAMBO MENGI YANAYOTUWAKILISHA KAMA TAIFA NA MATAIFA MENGINE YAWE YA MUUNGANO, Kwasasa ni kawaida mzanzibar kujisikia fahari kujitambulisha ametoka zanziba na si tanzania tunapokuwa wote nje, najiuliza hivi kwanini na mimi nisitumia tanganyika?
Na kwanini hutumii Tanganyika?