Zanzibar kupo ovyo sana. Kweli au nahitaji kueleweshwa?

Hoteli za wenye za matajiri..sio wote matajiri..lodge muhimu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakudanganya? Kuna hotel nzuri tu tena za bei nafuu. Kama hujui inasisitizwa ukifika mji usioujua waulize wenyeji. Angalia hapa hotel zilizopo Zanzibar town na gharama zake

Ndipo utakapojijua upo kizamani sana
Kweli US$28 (65,000) useme hizo ni za matajiri?
 
Tatizo wanapenda kufuga majini kila nyumba kuna fugwa jini, kingine wanahamin Sana ushirikina utakuta Mume hajaonekana nyumban siku mbili mke anaenda Kwa mganga ili amsaidie, baadala aende kutoa taarifa polisi na kwenda hospital kumtafuta , chakushangaza wanaenda kwa waganga.
Acha uzushi na uongo! Muda mwingine unajiskia aibu lakini unajifanya mkavu wa kuongea, hivi Zanzibar wanaamini ushirikina kuliko Bara?
 
Watu hawaelewi Zanzibar mji wa kihistoria. Kuna maeneo inabidi yabaki vile vile yalivyo kuendelea kuwa vivutio vya utalii.

Aende Melia, Lagema, Kendwa, Mnemba, arudi Chukwani, Mbweni Kisauni tuone kama hajabadili thread au kuifuta kabisa.

Zanzibar inategemea unataka kitu gani.
Hawa wengi wanaoongea hivi unakuta labda mtaa aliofikia ndio yupo hapo, hivyo hajapata kuzunguka na kujionea maeneo mengine, au kasimuliwa na yeye amekuja kuandika.
 
Mleta mada anamaanisha miundombinu inayoletwa na serekali mfano barabara

Kama ile barabara pale darajani ya enzi na enzi

Mfano kutoka shangani Hadi airport hiyo barabara yaaje mkuu

Alafu zile paka kule Stone Town nyingi kushinda mchanga
Sasa hilo ni swala la serikali, kwa minajili hiyo asiwajadili wakaazi maana wao hawahusiki na ujenzi wa miundo mbinu. Ningemsapoti kwa 100%kama kichwa cha mada yake kingehusisha viongozi tu na sio wakaazi, lakini maelezo yake mengi yanabase kwa wakaazi.
 
Hawa wengi wanaoongea hivi unakuta labda mtaa aliofikia ndio yupo hapo, hivyo hajapata kuzunguka na kujionea maeneo mengine, au kasimuliwa na yeye amekuja kuandika.

Inashangaza mtu anaenda Unguja siku moja kisha anasema Zanzibar ndogo, nimetembea siku moja tu nikaimaliza...

Unamuuliza, umeenda Kizimkazi kuona Dolphins? Umeenda Paje? Jambiani? Nungwi? Anakwambia hajafika, unamuuliza sasa umeenda Zanzibar gani?
 
Inashangaza mtu anaenda Unguja siku moja kisha anasema Zanzibar ndogo, nimetembea siku moja tu nikaimaliza...

Unamuuliza, umeenda Kizimkazi kuona Dolphins? Umeenda Paje? Jambiani? Nungwi? Anakwambia hajafika, unamuuliza sasa umeenda Zanzibar gani?
Hawa ni wale jamii ya watu wanaotoa mtazamo wao kwa kupitia masimulizi au kwa kuona kwa macho, kwanza haiwezekani kuizunguka Zanzibar kwa siku moja, kama utakwenda Nungwi haiwezekani na kwenda Makunduchi kwa siku hiyo. Ninachokiona wengi wamesimuliwa hawajafika kujionea wenyewe, hivi chief umeshawahi kufika Kiwengwa?
 
Hawa ni wale jamii ya watu wanaotoa mtazamo wao kwa kupitia masimulizi au kwa kuona kwa macho, kwanza haiwezekani kuizunguka Zanzibar kwa siku moja, kama utakwenda Nungwi haiwezekani na kwenda Makunduchi kwa siku hiyo. Ninachokiona wengi wamesimuliwa hawajafika kujionea wenyewe, hivi chief umeshawahi kufika Kiwengwa?

Huyo ni yule ameishia Stone Town tu. Pia wanasahau kwamba ule mji uko chini ya uangalizi wa UNESCO, hauwezi hata kuchimba msingi au kutoboa ukuta bila kuwahusisha mamlaka husika, mji uko vile ili kuhifadhi ukale wake. Na hiyo ndio inaufanya uwe kivutio kwa watalii.
 
Huyo ni yule ameishia Stone Town tu. Pia wanasahau kwamba ule mji uko chini ya uangalizi wa UNESCO, hauwezi hata kuchimba msingi au kutoboa ukuta bila kuwahusisha mamlaka husika, mji uko vile ili kuhifadhi ukale wake. Na hiyo ndio inaufanya uwe kivutio kwa watalii.
Ngoja tumpe muda labda akizunguka zunguka kidogo ataona utofauti wake.
 
Unaweza kwenda England ukawaona washamba sababu wana nyumba za kizamani na matofali ya kuchoma.., kumbe wanahifadhi asilia yao (Victorian era)...

Sasa miji yote ikifanana kama New York watu tutashindwa kupata a Change of Scene....
hajazungumzia change of scene.kazungumzia services.ni muhim kwa mamlaka za mji
mji wa kitalii uwe na usafi wa hali ya juu.pale darajan na mji mkongwe pawe mantai ned kwa lami nzuri zile chemba za choo ziwe clear maji yaende baharin
huwa nashangaa kusikia haruf wakat bomba za baharin zipo
mji mkongwe nyumba zikarabatiwe na elimu na hamasa itolewe kwa.wingi kwa watu kuuza huduma za kitalii za kwa wandan na nje
kwa kuanzia vyakula vya asili ka mihogo kuchemsha na supu za pweza zile baga sio natural wanazitia mafuta meng na jam ile ya chokolet
 
Kimgawanyo, kuna eneo la mjini ambalo lipo katiko mkoa wa Mjini Magharibi na ni wilaya ya Mjini, maeneo ya shamba ni Mkoa wa Kaskazini na Mkoa wa Kusini.

Moja ya biggest failure ya CCM Zanzibar nikuwa wametawala kwa miaka 60, lakini mpaka leo kwa vijisiwa kama vya Zanzibar bado kuna mjini na Shamba, ni aibu sana. SI mjini na shamba tu, kuna watu wa mjini na washamba, yani watu washamba hata kuzungumza vizuri Kiswahili ni shida, wana lahaja zao hawaeleweki kabisa nini wanazungumza.
CCM wameshindwa kuwastaarabisha raia wao kwa miaka 60.
 
hajazungumzia change of scene.kazungumzia services.ni muhim kwa mamlaka za mji
mji wa kitalii uwe na usafi wa hali ya juu.pale darajan na mji mkongwe pawe mantai ned kwa lami nzuri zile chemba za choo ziwe clear maji yaende baharin
huwa nashangaa kusikia haruf wakat bomba za baharin zipo
mji mkongwe nyumba zikarabatiwe na elimu na hamasa itolewe kwa.wingi kwa watu kuuza huduma za kitalii za kwa wandan na nje
kwa kuanzia vyakula vya asili ka mihogo kuchemsha na supu za pweza zile baga sio natural wanazitia mafuta meng na jam ile ya chokolet

Tatizo kubwa ni Uncivilized society, nahili sio kwa wakaazi tu bali hata kwa watawala na hapo ndipo penye tatizo kuu.
 
Very True, ndio maana wanalindana sana wanafanya ubadhirifu halafu wanaachiana tu. Fikiria CAG katoa ripoti ya ufisadi, Mwakilishi wa CCM anasema CAG hana mamlaka kwa vile hajachaguliwa kisheria. Bullshit

Nilona video karibuni Dr. Mwinyi akilalamika kua matumizi ya maendeleo katika makusanyo ya halmashauri hayazidi 2%, asilimia 98% ya fedha inaingizwa huku na kule na mwisho wake kuliwa, cha kushangaza Zaidi kawaondosha wakurugenzi waliokuwepo, katafuta makada wengine wa CCM kawaeka nawao wakaibe.
 
H
Siyo hawapend kujionyesha tatitizo hawajielewi, ndiyo maana huwezi kumtofautisha mkuu wa mkoa, katibu mkuu wa wizara na wauza nazi sokoni, mkurugenzi wa Zec Zanzibar ana panda boti ya elfu 25000, kwenda kwenye kikao, Una zani mkurugenzi wa NEC utampandisha boat ya elfu 25000 kwenda kwenye kikao Zanzibar, kwa kifupi wa Zanzibar hawajui kutumia hela
Huu ni Ukweli mtupuu sijui kwanini ukiwauliza watakwambia dini ila waarabu wenyewe sasa wenye dini yao wanakula Bata balaa sasa hapo nashindwaga kuelewa kabisa..
 
Nimetembelea huu mji, kwa kweli ni mji ambao bado watu wamelala, migahawa ya kumulika kwa tochi vyakula havieleweki, nimeenda hadi forodhani yaani nyama za pale bei juu alafu hazina mvuto yaani rafu rafu tu.

Barabara za lami kama wamemwaga zege yaani, mainjinia sijui wameajiriwa kwa kazi gani, nimehisi nimerudi Dar es Salaam ya mwaka 2000 or ndio mji wa kitalii labda.

Labda nipewe chimbo huenda nimeenda sehemu sio lakini kwaweli ni majanga sana hapa.

Zanzibar ni sehemu ya ajabu sana,kinachoumaga ni ubaguzi wao kwetu sisi watu wa bara!.wanatuona kama wanyonyaji na waporaji!..ubaya wao wanatambuana kwa lafudhi,sisi hatuongei kama wao!.kitu cha elfu tano watakuuzia elfu 10!.Mwezi mtukufu hakuna kula!.wafanyabiashara mamwinyi mno!.Barabara za kwenda hotel za kitalii ni MBOVU!..
Nilikwenda kula Hotel ya nyota nne,ilikuwa Ramadhan!..jamaa wakagoma kuniuzia chakula,nikaagiza japo Juice pia wakagoma!.ila Wazungu wamejaa wanakula na kunywa!..kisa mimi mswahili sikuruhusiwa kula!..niliumia sana na nikajiona Mtumwa ndani ya nchi yangu!..sitasahau.
 
pale forodhani nikula mishikaki miwili ya samaki na maji ya matunda bili ikaja elfu 68 yaani wizi mtupu
Kama ulijifanya hujui kibongo au unaongea lugha ya malkia iliyoshiba hiyo bei halali yako, maana wanawatafuta sana watu kama wewe.

Pale kuna madalali na hao ndiyo wanaopiga pesa, wenzako huwa wanafanya negotiation kabla ya kuchangua menu.
 
Eneo lolote hapa Tz ukishaona chama cha mapinduzi kina wafuasi lukuki basi jua ni mahali pa hovyo !!! Fatilia hata huku Tanganyika angalia maeneo hasa ya pwani, morogoro,tabora nk utapata jibu !!! Fuatilia hata uwezo wa wanafunzi kutoka naeneo hayo
 
Back
Top Bottom