Leo zimezuiwa ndizi zenye thamani ya Tzs 5,000/= Maafisa wamesema serikali imezuia uingizwaji wa ndizi toka bara sababu kuwa zina wadudu wanaosababisha maradhi. Hajafafanua maradhi hayo aina gani.
Hivyo nimelazimika kuziacha bandarini chakula changu pendwa ndizi Bukoba. Naishauri Serikali ya Zanzibar kutoa taarifa na kubandika taarifa hizo katika kuta za matangazo bandarini Dar es Salaam and Zanzibar.
Ajabu ni kuwa wakati natoka nje ya bandari naona kuna Wazanzibar wameshikilia ndizi mzuzu kutoka bara na hawajazuiliwa. Nilitaka kuwauliza walikuwa wakali sana.
Naomba kama kuna wataalam wa afya au mwenye taatifa hizi za kiafya anipe faida nami na familia yangu tupate kuzifaham
Hivyo nimelazimika kuziacha bandarini chakula changu pendwa ndizi Bukoba. Naishauri Serikali ya Zanzibar kutoa taarifa na kubandika taarifa hizo katika kuta za matangazo bandarini Dar es Salaam and Zanzibar.
Ajabu ni kuwa wakati natoka nje ya bandari naona kuna Wazanzibar wameshikilia ndizi mzuzu kutoka bara na hawajazuiliwa. Nilitaka kuwauliza walikuwa wakali sana.
Naomba kama kuna wataalam wa afya au mwenye taatifa hizi za kiafya anipe faida nami na familia yangu tupate kuzifaham