Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,606
- 20,346
Sijajua unatumia methodology gani, nashindwa hata kukuhoji zaidiMnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Zanzibar kimpira wako juu kuliko huku bara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua unatumia methodology gani, nashindwa hata kukuhoji zaidiMnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Zanzibar kimpira wako juu kuliko huku bara.
Zanzibar sio nchi.Tanzania ndio nchi
Ngoja nicheke kwanza.Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Zanzibar kimpira wako juu kuliko huku bara.
Na Somali nao, Djibout, Malawi, Eritrea, Mauritius, Seychelles, Burundi na nyengine mfano wa hizo ulizisikia zimefika wapi.Ukibebwa, basi jitahidi ujishikilie! Zanzibar wamebebwa na CAF kwa kupewa nafasi mbili za klabu zao kushiriki CAF Champions League a Confederation Cup. Lakini hawa jamaa huwa wanaishia raundi ya awali, na wakijitahidi sana wanaishia raundi ya kwanza. Sasa hapo inakuwa ni vigumu hata kuweza kuishawishi CAF itoe nafasi hiyo kwa ngazi ya timu za taifa
Bora uvunjike tu. Mbona China na Hong Kong wote wanachama wa fifa ?Kibosho1 Tatizo ni kuwa Tanzania Bara au Tanganyika wamejiunga ndani ya FIFA kwa kupitia mlango wa Tanzania. Walitakiwa wajisajili kama Tanzania Bara. Sasa Zanzibar ipo ndani ya Tanzania kwahiyo ni ngumu kupata uanachama kwa kuwa tayari wamo ndani ya fifa kwa kupitia mlango wa Tanzania.
Suluhisho la hili ni Tanzania Bara kubadili Jina lao na mipaka yao ndani ya Fifa kitu ambacho Serekali ya Bara haitaki kiroho mbaya tu.
Mbali na hivo TFF ikishirikiana na SMT licha ya kuwabania Zanzibar kupata uanachama pia wanagoma kuwapa Zanzibar mgao wowote unaotokana na FIFA. Kwa maana Si tu Hawataki wenzao wapate uanachama bali hata Mgao hawataki kuwapa.
Huu Muungano una madudu mengi sana
Asante kwa jibu zuriNa Somali nao, Djibout, Malawi, Eritrea, Mauritius, Seychelles, Burundi na nyengine mfano wa hizo ulizisikia zimefika wapi.
Shida ya Zanzibar ni moja tuu imekaliwa kimabavu na Jamhuri ya Tanganyika kiasi kwamba haiwezi kufanya ya kwake hata kwenye sekta ya michezo.
Na hii ni kaana hata kwa hiyo inayoitwa Taifa Stars ikiingua kwenye mashindano ya kimataifa huwa haifiki popote hubaki kuhamasishana tuu na kujipa moyo mnajifunza.
Kwa hapa nyumbani zanzibar ni nchi lakini huko duniani zanzibar ni sehemu ndogo sana ya nchi yaZanzibar sio nchi
Kuna mchi duniani inaitwa Zanzibar?Mhe. Mwinyi ni mkuu wa kitongoji.? Em nieleweshe boss
Ukitaka Zanzibar iwe mwanachama wa FIFA basi na Tanganyika iwe mwanachama wa FIFATusubiri majibu yake
Nakujibu kwa swali, hapa duniani kuna nchi inaitwa Wales.?Kuna mchi duniani inaitwa Zanzibar?
Mbona hii haipo UKUkitaka Zanzibar iwe mwanachama wa FIFA basi na Tanganyika iwe mwanachama wa FIFA
Zidisha maisha.Ngoja nicheke kwanza.
Tumekuelewa, kaandamane sasaTunaposema Wazanzibari Hatutaki Muungano mutuelewe Watanganyika.
Afadhali ww umeandika cha maana kuliko hao wanaosema Zanzibar sio nchi.Kibosho1 Tatizo ni kuwa Tanzania Bara au Tanganyika wamejiunga ndani ya FIFA kwa kupitia mlango wa Tanzania. Walitakiwa wajisajili kama Tanzania Bara. Sasa Zanzibar ipo ndani ya Tanzania kwahiyo ni ngumu kupata uanachama kwa kuwa tayari wamo ndani ya fifa kwa kupitia mlango wa Tanzania.
Suluhisho la hili ni Tanzania Bara kubadili Jina lao na mipaka yao ndani ya Fifa kitu ambacho Serekali ya Bara haitaki kiroho mbaya tu.
Mbali na hivo TFF ikishirikiana na SMT licha ya kuwabania Zanzibar kupata uanachama pia wanagoma kuwapa Zanzibar mgao wowote unaotokana na FIFA. Kwa maana Si tu Hawataki wenzao wapate uanachama bali hata Mgao hawataki kuwapa.
Huu Muungano una madudu mengi sana
Sisi tunawaelewaga tatizo ni Kikwete na hao wenzake sijui kwa nini wanawakumbatiaga sanaTunaposema Wazanzibari Hatutaki Muungano mutuelewe Watanganyika.
Kaandika vizuri sana lakini bado. Mfano Kosovo ni jimbo la Serbia na Serbia ni mwanachama wa fifa, mbona imepewa uanachama juzi juzi? Hong Kong nayo ni nchi?Afadhali ww umeandika cha maana kuliko hao wanaosema Zanzibar sio nchi.