Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Zanzibarians mpo?
Zenji kumekucha siku hizi hakuna ushungi ni vitop na jeans za kubana.Wazenji bado wanasema kuwa wabara ndio wanaoiaribu kwa kutokuwa na maadili wakati mwingine wanasema kuwa hata wale kaka poa sio wazenji ni wabara.
Hodi hodi visiwani!
There are 2 reasons why Muslim women cover themselves.
Message deleted by Invisible
Zenji kumekucha siku hizi hakuna ushungi ni vitop na jeans za kubana.Wazenji bado wanasema kuwa wabara ndio wanaoiaribu kwa kutokuwa na maadili wakati mwingine wanasema kuwa hata wale kaka poa sio wazenji ni wabara.
Hodi hodi visiwani!
Unauliza nini? Hebu angalia na ya kwenu kwanza. Iwe Mkoa wowote ule unaotoka basi hivyo vitop viko mara zaidi ya hamsini kuliko vilivyoko Zenj.Zanzibarians mpo?
Sisi bara wanavaa sana na tunakubaliana na tunapenda wakivaa,nyie tatizo mnasema sio wazazibari wanaovaa hivyo na tabia za kiasherati ati bi wabara ndio wanaokuja huko na tabia hizo.Hiyo picha ni tamasha la fiesta lilifungwa zenji na hao babies akina Mwanakombo,Fatma na wenzake ni wazenji full kujiachia.No shungizi wala nini.Unauliza nini? Hebu angalia na ya kwenu kwanza. Iwe Mkoa wowote ule unaotoka basi hivyo vitop viko mara zaidi ya hamsini kuliko vilivyoko Zenj.
Ha ha ha hayo ndio yanayopigwa vita inakuwaje wakiristu hawafiki hata 100 kukajengwa kanisa kila mtaa ,kama si kueneza mila ni kitu gani ?
Zenji kumekucha siku hizi hakuna ushungi ni vitop na jeans za kubana.Wazenji bado wanasema kuwa wabara ndio wanaoiaribu kwa kutokuwa na maadili wakati mwingine wanasema kuwa hata wale kaka poa sio wazenji ni wabara.
Hodi hodi visiwani!
Kule Nungwi wangefanya maandamano.....kama kawaida yao