Zanzibar katika Midomo ya Mbwa!

TL. Marandu

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
3,625
5,805
Huu ni Uhuni wa Ajabu, Watu wanashinda mnafuta Ushindi wao, Kisha Mnalazimisha Uchaguzi Urudiwe, Na Kama Haitoshi Mnawashawishi sana wakubali Kuingia kwenye Uchaguzi wa Marudio ili Muwaibie na Kuhalalisha Wizi huo. Wanakataa Mnatumia lugha zinazozidi hoja za uharo ati hawawezi Kujitoa kwenye Uchaguzi wa Marudio. Kwa maana Nyingine, Mnawalazimisha waingie Uchaguzi wa marudio ili Mhalalishe wizi mlioupanga.
Nasikia Kichefuchefu Kila Nikisikia ati Jecha Kasema Hiki, ZEC, Waamesema Hivi etc. Enyi Watanzania na Wazanzibari. Uhuni wote huu, tangu kufutwa kwa matokeo ya Uchaguzi Zanzibar, Kudhalilishwa huku kwa Watu wa Zanzibar, Kunafanywa na CCM Chini ya Usimamizi na MAAGIZO YA KIKWETE NA MKAPA.
Wakati Kulipotokea Vurugu Kenya Bila aibu Niliwaambia baadhi ya Marafiki zangu wa Kenya, "Mnisamehe, Najua shida iliyopo kenya, sitaki iishe haraka, kwani itakuwa Ni fundisho siku nyingine wanasiasa hawatarudia Upuuzi huu" Kenya walijifunza, Nilidhani somo lingesaidia Tanzania. Ni maombi yangu Kwa Mungu, Asaidie Zanzibar Ikalete Fundisho kwa hawa Mbwa wanaocheza na Amani na Uhuru wetu. Na Mbaya zaidi wanajifanya Ni Miungu.

Ila si CCM wanajifanya Wahuni, Mimi Nitawafundisha CUF Kuwapa CCM, MKAPA na KIKWETE KO ya Kisheria na Kikanuni, Very Simple, Wasimamisheni Uanachama kwa Muda Usiojulikana, Wanachama wote Wanaolazimishwa Kuingizwa kwenye Uchaguzi Batili wa Kihuni. Halafu watatuambia kama watawabakisha kama wagombea binafsi au Madudu gani


Mwalimu Nyerere katika maisha yake na Utawala wake alifanya Mambo mazuri ajabu. Lakini yapo machache aliyoyakosea na alikiri, mfano ikiwa ni Kuwalazimisha watu kwenda Vijiji vya Ujamaa, Kama Geza Ulole, Vigugumo etc. Lakini Mojawapo ya Kosa Kubwa ambalo kwa mwelekeo wa Kauli zake kabla hajafariki alishaanza Kuliona ni Hili, Mwaka 1995 akijibu swali la Mwandishi kuwa ni Kwanini ameamua kujihusisha na Kampeni za Urais Katika Uchaguzi wa Kwaza wa vyama Vingi alijibu, "Siwezi Kulala na Kuachia nchi yangu ikachukuliwa na mbwa" Lakini Masikini alikuja Kuanza kuona Dalili too late kwamba lile alilolihofia ndilo lililotokea Nchi ilichukuliwa na MBWA.
 



Lafudhi tu ya huyo takataka anayeongea kwenye hiyo clip inaonyesha kabisa kuwa ni mtu KLM halafu unategemea tutegemee jipya kutoka kwake?
Tangu lini mtu wa KLM akawa upande wa Serikali ya JMTZ? Eti naye anajifanya mtetezi wa Unguja na Pemba tangu lini huyo takataka Unguja na Pemba zikamuhusu?
Hawa ndiyo waliokuwa maadui wakubwa wa Muungano wetu tangu siku ya kwanza na ndiyo waliomsumbua Mlm.Nyerere klk mtu yoyote yule eti leo hii na lafudhi yake ya kukera anajifanya mtetezi wa Unguja na Pemba!
 

Lafudhi tu ya huyo takataka anayeongea kwenye hiyo clip inaonyesha kabisa kuwa ni mtu KLM halafu unategemea tutegemee jipya kutoka kwake?
Tangu lini mtu wa KLM akawa upande wa Serikali ya JMTZ? Eti naye anajifanya mtetezi wa Unguja na Pemba tangu lini huyo takataka Unguja na Pemba zikamuhusu?
Hawa ndiyo waliokuwa maadui wakubwa wa Muungano wetu tangu siku ya kwanza na ndiyo waliomsumbua Mlm.Nyerere klk mtu yoyote yule eti leo hii na lafudhi yake ya kukera anajifanya mtetezi wa Unguja na Pemba!
Ulivyo na akili iliyojaa kinyesi wala hudhani kwamba mambo ya Unguja na Pemba yanawahusu watu wa Tanganyika! Kama ya Burundi yanaathiri Watanzania, Sembuse Zanzibar?
Hivi Lumumba huwa hakuna anayeweza kuwaza nje ya Box?
Mnakera!
 
inatia uchungu .Nakuelewa m kuu pamoja na lugha Kali uliyotumia.

Siogopi yeyote, Nimeongea Hivyo Kwa confidence! Hakuna lolote wanaloweza Kunifanya Kwa Kuwa Nasema Kweli, Ila Kama Upo hapo Bongo Uwe Makini, These criminals will stop at Nothing at their self deception that they own every Tanzanian as their livestock and I guess they can decide whose Christmas is at hand! Ila Kwangu Mimi am secure, physically and legally. Ndio Maana kwa Niaba yenu ndugu zangu Napush envelop as far as I can, Mugabe ana msemo asemao, "If it bother them they can go and hang"
 
umenena ukweli kamanda. Mambo ya Zanzibar yanawahusu watanzania wote, huwezi kuona nyumba ya jirani yako inawaka Moto na wewe ukafumbia macho eti na kutoa kisingizio rahisi na cha kipuuzi hayakuhusu.
 
Chadema hawana hoja siku hizi,wamehamishia magoli kwenye uchaguzi wa zanzibar.
Ukitaka kujua chadema ni vigeu geu na matapeli,angalia wakati wa kuanwa kutunga kanuni za bunge la katiba.hawakutaka kabisa zanzibar iwepo,Tundu lissu alifikia kumwita Rais wazanzibar ni kama waziri tu.
leo hii mishipa ya shingo na mipovu inawatoka eti wana uchungu na zanzibar
 
KLM na zanzibar wizi mtu!
Mwizi akimshitaki Mwizi mwenzie.
Utafurahi, yaani inatia raha. Kama isingekuwa wizi wa KLM tungelikuwa hapa? Huyu jamaa ana kitu furani kizuri lakini yeye ni mhanga wa KLM.
 
NO ... nadhani hiyo lafudhi ni nafuu kuliko ile ya akina olensukuma gete
Kipimo cha lafudhi ni sikio. Sikio jingine sio SI UNITY ila jingine ni SI UNITY.
Inategemea sikio liko kwa nani.
Kama liko KLM yuko sawa. Lakini kama yuko Nyanza Inakera, Sauti haina Ubora.
 
Siogopi yeyote, Nimeongea Hivyo Kwa confidence! Hakuna lolote wanaloweza Kunifanya Kwa Kuwa Nasema Kweli, Ila Kama Upo hapo Bongo Uwe Makini, These criminals will stop at Nothing at their self deception that they own every Tanzanian as their livestock and I guess they can decide whose Christmas is at hand! Ila Kwangu Mimi am secure, physically and legally. Ndio Maana kwa Niaba yenu ndugu zangu Napush envelop as far as I can, Mugabe ana msemo asemao, "If it bother them they can go and hang"
Haya endelea kuwatumikia mabwana zako..

Kina Nyerere waliikuwa hapahapa Tanzania wakati wanapigania nchi yao. Sasa wewe umejificha huko ughaibuni tena kwenye mtandao.. Hahahahaha

Njoo usimame hadharani dunia ikuone..ndio maana mnalalamika hoo lowasa kaibiwa kura.,, alafu eti mnasubiri aseme neno muingie barabarani. Kenya hawakusubiri Odinga aseme neno.

Yani mnaandamana mitandaoni loh...
 
Huu ni Uhuni wa Ajabu, Watu wanashinda mnafuta Ushindi wao, Kisha Mnalazimisha Uchaguzi Urudiwe, Na Kama Haitoshi Mnawashawishi sana wakubali Kuingia kwenye Uchaguzi wa Marudio ili Muwaibie na Kuhalalisha Wizi huo......
Ila si CCM wanajifanya Wahuni, Mimi Nitawafundisha CUF Kuwapa CCM, MKAPA na KIKWETE KO ya Kisheria na Kikanuni, Very Simple, Wasimamisheni Uanachama kwa Muda Usiojulikana, Wanachama wote Wanaolazimishwa Kuingizwa kwenye Uchaguzi Batili wa Kihuni. Halafu watatuambia kama watawabakisha kama wagombea binafsi au Madudu gani
Ushauri uliotoa unaweza kuwafunga CUF baadae. Kama nimefahamu vizuri hoja ya CUF ni kuwa Uchaguzi ulikamilika tarehe 25.10.2015 na ulikwenda vizuri tu. Wengi wanaamini ulikuwa huru na wa haki hata kama zilikuwepo kasoro za hapa na pale. CUF inashikilia kuwa washindi ambao wamekabidhiwa vyeti vya ushindi ni washindi halali. Watakapowapokonya uanachama kama CUF wana nia ya kwenda mahakamini kupinga/kuzuia uchaguzi batili uliopangwa ufanyike 20.03.2016 watakuwa wamejiweka pabaya. Watakuwa wamelazimisha uchaguzi wa marudio kwa majimbo ambayo hayana wawakilishi na madiwani kwa sababu wawakilishi na madiwani hao walivuliwa uanachama. Haja ya uchaguzi wa kujaza nafasi iliyo wazi inapata nguvu.

Hata pale CUF watakapopinga uapishwaji wa "washindi wa uchaguzi wa marudio" kwa uthibitisho wa vyeti vya ushindi walivyonavyo ambavyo walipewa na ZEC na hakuna aliyekwenda mahakamani kupinga ushindi wao kama watakuwa wamewavua uanachama watakuwa hawana hoja ya msingi.

Tatizo ambalo linazidi kuweka ukungu katika kadhia hii ya maigizo ya marudio ya uchaguzi ya CCM na Jecha ni hii imani ya CCM na viongozi wake kuwa Tume ya uchaguzi ni huru na mahakama ni huru. Kama vyombo hivi ni huru, ingeonekana kwa kila mtu kuwa ni vyombo/taasisi huru lakini uhalisia hauko hivyo.
 

Lafudhi tu ya huyo takataka anayeongea kwenye hiyo clip inaonyesha kabisa kuwa ni mtu KLM halafu unategemea tutegemee jipya kutoka kwake?
Tangu lini mtu wa KLM akawa upande wa Serikali ya JMTZ? Eti naye anajifanya mtetezi wa Unguja na Pemba tangu lini huyo takataka Unguja na Pemba zikamuhusu?
Hawa ndiyo waliokuwa maadui wakubwa wa Muungano wetu tangu siku ya kwanza na ndiyo waliomsumbua Mlm.Nyerere klk mtu yoyote yule eti leo hii na lafudhi yake ya kukera anajifanya mtetezi wa Unguja na Pemba!
Jibu hoja, sio kujificha nyuma ya matusi na ujinga mwingine wa eti lafudhi
We Matonya lafudhi ya mtu huwa kwenye matamshi sio maandishi
Usijifanye unajua kiswahili sanifu wakati juzi umetoka kwenye tembe lenu pale Bahi
Jifunze ustaarabu
 
Ushauri uliotoa unaweza kuwafunga CUF baadae. Kama nimefahamu vizuri hoja ya CUF ni kuwa Uchaguzi ulikamilika tarehe 25.10.2015 na ulikwenda vizuri tu. Wengi wanaamini ulikuwa huru na wa haki hata kama zilikuwepo kasoro za hapa na pale. CUF inashikilia kuwa washindi ambao wamekabidhiwa vyeti vya ushindi ni washindi halali. Watakapowapokonya uanachama kama CUF wana nia ya kwenda mahakamini kupinga/kuzuia uchaguzi batili uliopangwa ufanyike 20.03.2016 watakuwa wamejiweka pabaya. Watakuwa wamelazimisha uchaguzi wa marudio kwa majimbo ambayo hayana wawakilishi na madiwani kwa sababu wawakilishi na madiwani hao walivuliwa uanachama. Haja ya uchaguzi wa kujaza nafasi iliyo wazi inapata nguvu.

Hata pale CUF watakapopinga uapishwaji wa "washindi wa uchaguzi wa marudio" kwa uthibitisho wa vyeti vya ushindi walivyonavyo ambavyo walipewa na ZEC na hakuna aliyekwenda mahakamani kupinga ushindi wao kama watakuwa wamewavua uanachama watakuwa hawana hoja ya msingi.

Tatizo ambalo linazidi kuweka ukungu katika kadhia hii ya maigizo ya marudio ya uchaguzi ya CCM na Jecha ni hii imani ya CCM na viongozi wake kuwa Tume ya uchaguzi ni huru na mahakama ni huru. Kama vyombo hivi ni huru, ingeonekana kwa kila mtu kuwa ni vyombo/taasisi huru lakini uhalisia hauko hivyo.

Nilifikiria Hivyo tu, Lakini kwa Muda Usiojulikana Unaweza Kuwa ni hata siku Moja, Ni muda tu wa Kuweza Kuzuia Kuwaburuza Kuhuni kwenye Uchaguzi Kuhalalisha Wizi wa CCM, Kisha wanafuta Uamuzi huo.
 
Haya endelea kuwatumikia mabwana zako..

Kina Nyerere waliikuwa hapahapa Tanzania wakati wanapigania nchi yao. Sasa wewe umejificha huko ughaibuni tena kwenye mtandao.. Hahahahaha

Njoo usimame hadharani dunia ikuone..ndio maana mnalalamika hoo lowasa kaibiwa kura.,, alafu eti mnasubiri aseme neno muingie barabarani. Kenya hawakusubiri Odinga aseme neno.

Yani mnaandamana mitandaoni loh...

Mkuu Kama Kweli Sheria za Mtandao, Ni za haki Mnaweza Kunifuungulia Mashitaka Nilisharudi Niko zangu "Kimara Baruti"
 
Haya endelea kuwatumikia mabwana zako..

Kina Nyerere waliikuwa hapahapa Tanzania wakati wanapigania nchi yao. Sasa wewe umejificha huko ughaibuni tena kwenye mtandao.. Hahahahaha

Njoo usimame hadharani dunia ikuone..ndio maana mnalalamika hoo lowasa kaibiwa kura.,, alafu eti mnasubiri aseme neno muingie barabarani. Kenya hawakusubiri Odinga aseme neno.

Yani mnaandamana mitandaoni loh...

Wewe fanya Unayoona sawa na Mimi Nitafanya Ninayoona sawa, Kila Kitu Kina wakati wake, Mimi sio Mtoto Huo wakati Unaosema Utafika. Duniani Kumekuwa na Mabadiliko mengi Positive, Utumwa Umeisha, Ubaguzi wa rangi Umedidimizwa, Kunyanyaswa kwa Watoto na Wanawake Kunadidimizwa Kwa sababu ya Watu wanaopiga kalele na kufanya wawezalo Kusaidia.
Kama wewe Umeamua Kuwa Upande wa Wakandamizaji wa Demokrasia kwa Visingizio ati Hawataki Kutawaliwa? Ni juu yako, Iko siku Historia Itahukumu Kati yako na Mimi Nani Yuko sawa. Nafikiri Ni Vizuri Ukaheshimu tu Kuwa wapo watu wanaofanya mambo tofauti na unavyotaka, Wakawa na nia njema, na hata pengine wakawa sahihi na wewe Ukawa Umekosea. Unakumbuka Ilivyokuwa Vigumu Kuwaambia Marekani walifanya Makosa (Na Uhuni) Kwenda Vitani Iraq, Walimtukana Kila Mtu aliyewapinga au kuwashauri kinyume na nia yao Lakini Kiko wapi leo.
Mzee wangu, Let Me Be, Naweza Nikawa Niko Wrong, au Kelele nazopiga leo Zikasaidia Kuleta Uhuru na amani zaidi kwa Mtoto wangu na wako! Waliokuwa Wakipinga Utumwa, Ukoloni Miaka hiyo walitia Kinyaa wengi, Lakini sasa We owe them gratitude.

Mkuu Let me be! Hizo ndizo siasa za Heshima I hope zitakuwa Siasa za Vizazi Vijavyo!
 
Kaka why ukweli kiasi hiki utawala wa kinafiki? Bro siba shaka truth will prevail.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom