Uchaguzi 2020 Zanzibar: Jeshi la Polisi lawataka wagombea kuacha kutoa matamshi ya vitisho, lasema hatua kali zitachukuliwa kuhakikisha amani ya nchi inalindwa

Sasa kulinda kura kosa? Kuingia barabarani kosa? Kueleweka jambo ni kosa? kama ni makosa basi kwenye katiba yapo, labda utuoneshe wapi imesema ivo? Kwanini aseme atalinda amani tu lakini asilinde haki?

Wazanzibari tunataka tugawane fito, Mzee Karume alitwambia Koti likikubana ulivue tu.
Kila kitu kinaweza kuwa sahihi kwa yule anayekitaka ila kila kitu kina kikao na sahihi kwa kufuata taratibu na sheria
 
"Time ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC na Tume ya uchaguzi ya taifa NEC ya Tanzania bara"
Nimebaki na mshangao Afisa wa polisi anashindwa kusema kwa ufasaha.
 
Hivi wale wanaosema hadharani msipo nichagua sitaleta maji, barabara na maendeleo mengine hivyo siyo vitisho kweli?
Hayo maneno ni hatari zaidi, hususani katika nchi inayodai ni ya mfumo wa vyama vingi.

Hivi mpinzani kusema kuwa anaitaka Tume ya uchaguzi, kuendesha uchaguzi ulio huru na wa haki, hiyo lugha nayo waweza iita ni ya vitisho?

Hii inadhihirisha wazi kuwa hawa maccm yalipanga mwaka huu kama miaka mingine ya nyuma, kutaka kuiba kura.

Hata hivyo wamekutana na huyu mwamba Tundu Lissu, ambaye asilani hawezi kukubali kuibiwa.

Ndiyo sababu ya "kiwewe" chote hiki cha maccm..

Aliyezoea vya kunyonga, vya kuchinja haviwezi.
 
Mgombea mtawala ana nafasi kuelezea mazuri aliyoyafanya na atakayo yafanya akichaguliwa tena. Mgombea mpya anahaki kuwakumbusha wapiga kura mabaya waliofanyiwa na utawala uliopo, ahadi hewa ambazo hazikutekezwa na yapo mapya atakayo tekeleza akichaguliwa. Kumzuia ni uonevu na kuwanyima wananchi haki ya kupima.
Kwa hivyo haki yake inajumuisha kusema uongo ili mradi tuu umpe mtaji wa kuchaguliwa? Watanzania hatuwezi kumkubali TAL ambaye lengo lake ni kutugawa na kuleta vurugu kwa amri za rafiki zake Amsterdam, Trippi, Smith, nk. Hao ndiyo wamemuamuru aende Kibaha eti kuzungumza na wafanya biashara. Kufanya hivyo ni wazi kuwa ni kampeni. Ukiishakuwa Mgombea urais popote unapopita ni kampeni hususan ukienda kwenye soko.

Subiri TAL dawa ikuingie ili baada ya siku saba labda utaacha kusema uongo na mimi nakuombea kwa Mola ujikite katika masuala ya nini tukikuchagua utatufanyia. Achana na njama za kuleta vurugu maana wewe utaenda Belgium, sisi jee?? Hawa jamaa , Amsterdam, Smith, Trippi siyo ndugu zako.

Sisi ndiyo ndugu zako na tunatamani amani na maendeleo yatakayoletwa na miundombinu ya reli, barabara, SGR, Umeme wa Stieglers Gorge, nk. Wewe subiri tuu jinsi gani Mungu wetu anavyotupenda atakavyotuvusha katika daraja hili la Mabeberu. Kumbuka ya Corona19.
 
Hayo maneno ni hatari zaidi, hususani katika nchi inayodai ni ya mfumo wa vyama vingi...
Alafu mkuu hawa watu ni waajabu sana yaani kwenye hayo matamshi yao wanavyo sema vyama vya siasa wao wanamaanisha vile vya upinzani tena kile ambacho kinaonekana tishio ndo viongozi wake wananyooshewa vidole kila wanapotoa tamko.
Tulikuwa na igp mmoja akiitwa mahita alikuwa wa hovyo sana. Some times kulikuwa na election kama hii and Cuf ndo walikuwa wako juu kwa vyama vya upinzani.

Basi yule bwana alikuja na kituko cha karne ile kwani aliingia gerezani akaja na majambia akidai eti containers ya visu na majambia ya Cuf yamekamatwa bandarini. So eti Cuf ni chama cha hatari so kitaleta fujo na vita. Yaani ndo maana police huwa sihitaji msaada wao l think my dog can guard me honesty kuliko police.

Na tuweke akiba ya maneno lazima police waje na kituko this time kama kile cha yule mahita those days
 
Kwa hivyo haki yake inajumuisha kusema uongo ili mradi tuu umpe mtaji wa kuchaguliwa?????? Watanzania hatuwezi kumkubali TAL ambaye lengo lake ni kutugawa na kuleta vurugu kwa amri za rafiki zake Amsterdam, Trippi, Smith, nk. Hao ndiyo wamemuamuru aende Kibaha eti kuzungumza na wafanya biashara. Kufanya hivyo ni wazi kuwa ni kampeni. Ukiishakuwa Mgombea urais popote unapopita ni kampeni hususan ukienda kwenye soko. Subiri TAL dawa ikuingie ili baada ya siku saba labda utaacha kusema uongo na mimi nakuombea kwa Mola ujikite katika masuala ya nini tukikuchagua utatufanyia. Achana na njama za kuleta vurugu maana wewe utaenda Belgium, sisi jee?? Hawa jamaa , Amsterdam, Smith, Trippi siyo ndugu zako. Sisi ndiyo ndugu zako na tunatamani amani na maendeleo yatakayoletwa na miundombinu ya reli, barabara, SGR, Umeme wa Stieglers Gorge, nk. Wewe subiri tuu jinsi gani Mungu wetu anavyotupenda atakavyotuvusha katika daraja hili la Mabeberu. Kumbuka ya Corona19.
Jiwe hapendwi na Watanzani walio wengi mpaka wale walio karibu yake pia wanamnafikia tu, tarehe 28 October atashangazwa na mengi. Binafasi na watu wa mtaani kwangu hakuna hata mmoja anayemkubali. Wana kamsemo kao, kula kwa ccm lakini kura kwa Mh Lissu na chadema

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, mbona unakuwa mgumu kuelewa!? Mbona mgombea aliyesema hayo yupo wazi kabizsa kwenye maelezo yake!? Sasa asipochaguliwa atatekelezaje ilani yake ya UCHAGUZI ambayo inamuelekeza apeleke maji, barabara na maendeleo mengine!? Maana vyama vingine havina mpango wa kufanya hayo kama vitachaguliwa. Huyo, Mgombea anapenda ukweli na hataki kudhihaki watu kwa ahadi zisizo na manufaa!!!
Mkuu kumbuka mbunge au diwani ni wawakilishi wa wananchi kwenye ngazi za maamuzi.

So watendaji wakuu kwa almashauri ni wakurugenzi na watendaji wengine

Pili Rais hana mamlaka ya kuwajibisha mbunge au diwani kwani siyo wasimamizi wa mipango ya maendeleo katika eneo husika

Vile vile raisi anaweza pata kura kwa jimbo husika lakini asipate mbunge kwa tiketi ya chama chake.
Kama watu wa eneo usika wanalipa kodi kwa nini wasipelekewe maendeleo kwa vile mwakilishi wao ni wa upinzani

Huyo mwenyekiti wenu ni mbaguzi na analeta mambo ambayo yatatumbua siku za mbeleni.
 
Kila kitu kinaweza kuwa sahihi kwa yule anayekitaka ila kila kitu kina kikao na sahihi kwa kufuata taratibu na sheria
Unaponyimwa kikako na sahih (haki) unatakiwa ufanye nini? Useme hewala bwana?
 
Washauri wafuate sheria na taratibu waone kama watanyimwa na sio waingie kugawana mbao
na kama hazifuatwi sheria na taratibu? Mbona wanahubiri Amani lakini hawahubiri HAKI? Kugawana Mbao ni haki ya mmiliki wa mbao
 
na kama hazifuatwi sheria na taratibu? Mbona wanahubiri Amani lakini hawahubiri HAKI? Kugawana Mbao ni haki ya mmiliki wa mbao
Penye amani haki ipo
Haya nenda kaanze kugawana mbao😂😂😂
 
Huyo anayewatisha watu wasipomchagua hatofanya wajibu wa serikali kwa watu hao huyo ndiye mvunjifu wa amani mkubwa hastahili na hafai kabisa kuongoza watu Tanzania hii labda akajaribu Rwanda au Burundi
Hajawatisha amewaambia ukweli, wanachagua watu wasiowakilisha mahitaji wananchi wao sababu ya kukimbia vikao vya bunge na mabaraza
 
Kuelekea Oktoba 28, Kamishna Mkuu wa Jeshi la Polisi-Kamisheni ya Zanzibar, CP Mohamed Haji Hassan ameonya kuhusu uvunjifu wa amani visiwani humo

Amesema, "Baadhi ya Wagombea wa Vyama vya Siasa wamesikika wakitamka maneno kama vile 'wataingia barabarani', 'watalinda kura', 'mwaka huu lazima kieleweka'. Jeshi la Polisi linaona matamshi haya ni maandalizi ya uvunjifu wa amani"

Ameongeza kuwa, kwasababu matamshi hayo yanakiuka kanuni na miongozo ya Uchaguzi Mkuuu iliyotolewa na ZEC pamoja na NEC, Jeshi kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi litachukua hatua kali kuhakikisha amani ya nchi inalindwa.

Msikilize hapa:

kati ya wanaotaka kulinda kura zao na wanaotaka kuiba kura mhalifu ni nani?
hawa ni askari wanaotumikia matumbo yao badala ya wananchi badala wakemee njama za wizi wa kura wanatishia wanaotaka kulinda kura zao,Tanzania tunahitaji jeshi huru sio hili jeshi LA ccm
 
Hebu thibitisha pasi na shaka kuwa neno kugawana fito lina ashiria uchochezi na kuvuruga uchaguzi au democracy ya kuchagua na kuchaguliwa.

Acheni hizo mambo. Badala ya hivyo vyombo kuhimiza watu wajitokeze kwa wingi kupiga kura. Wao wamegeuka kuwa mawakala wa wanasiasa. Ni watu wa hovyo kabisa.
Hizo kauli zinanikumbusha Mzee NGUNGURI alivyokuwa akipambana na Ngangari enzi hizoo... mwisho wa siku akatia nia baada ya kutumika na kustaafu WAKAMTOSA!
NCHI HII RAHA SANA!!
 
Kwa hivyo haki yake inajumuisha kusema uongo ili mradi tuu umpe mtaji wa kuchaguliwa? Watanzania hatuwezi kumkubali TAL ambaye lengo lake ni kutugawa na kuleta vurugu kwa amri za rafiki zake Amsterdam, Trippi, Smith, nk. Hao ndiyo wamemuamuru aende Kibaha eti kuzungumza na wafanya biashara. Kufanya hivyo ni wazi kuwa ni kampeni. Ukiishakuwa Mgombea urais popote unapopita ni kampeni hususan ukienda kwenye soko.

Subiri TAL dawa ikuingie ili baada ya siku saba labda utaacha kusema uongo na mimi nakuombea kwa Mola ujikite katika masuala ya nini tukikuchagua utatufanyia. Achana na njama za kuleta vurugu maana wewe utaenda Belgium, sisi jee?? Hawa jamaa , Amsterdam, Smith, Trippi siyo ndugu zako.

Sisi ndiyo ndugu zako na tunatamani amani na maendeleo yatakayoletwa na miundombinu ya reli, barabara, SGR, Umeme wa Stieglers Gorge, nk. Wewe subiri tuu jinsi gani Mungu wetu anavyotupenda atakavyotuvusha katika daraja hili la Mabeberu. Kumbuka ya Corona19.
Usiaminishe dunia kuwa wote wana bongo nusu kama wewe usieweza kutofautisha uwongo na ukweli. Kama unashindwa kubaini uwongo wa tawala hii hufai kuishi.
 
Zanzibar kwa hilo wapo tayari tena polisi msijidanganye kuwalinda CCM watu ambao mnashindwa hata kuwaambia kwinyooo,jamaa wanatukana mchana kweupe mpaka lile nyani lao juzi anamtukana Mgombea wa Uraisi wa ACT,ndio maana ana marazi ya ukoma yasiyopona.
Polisi matusi wanayotoa CCM ni ya kujenga au kubomoa ?

Na Zanzibar kama kuna uchaguzi tarehe 27/10/2020 waZanzibari wote wanaoipinga CCM na wanaopinga uwepo wa Mashehe jela kwa muda wa miaka saba watakwenda kupiga kura.
 
Back
Top Bottom